Nakukumbusha tu: Nyumba ndogo haziolewi

Nakukumbusha tu: Nyumba ndogo haziolewi

Nitaitafuta. Nice new avatar
Si unajua simu za kudandia noma sana.Kujiunga unajiungia cafe,avatar unwekewa stationery,kuingia jf hadi ukamate simu ya jirani
Shida tupu
 
Najua mshana wew umenizid vitu ving kuanzia umri na huwa nakuckiliz San mkuu
BT mm ni mtot wa kiume wa kwanz kwa maza angu BT mzee Wang ni mzee wa michepuko kinyama na wanaotesek ni mama angu na wadogo zangu BT nshawah pandwa na hasira kiac kwamba nikatamka manen mabay kwa mzee.later majibu ake ukikua utajua
Ii kitu co nzur BT ndo vile tena cjui inakuaj

Sent using Jamii Forums mobile app
Katu simshauri mtu kuwa na vimada kuna hasara nyingi kuliko faida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume kuwa na nyumba ndogo kwa walio weeengi halikwepeki ila sasa kusema nyumba ndogo ni msingi ni moja ya dharau kwa mkeo halali tena wa ndoa. Na hapo ndo wanaume huwapa vichwa hao nyumba ndogo na migogoro kwenye familia huanzia hapo.

Ukiona mwanamke anakubali kuwa nyumba ndogo kuna maslahi ya zaidi hapo, hamna mtu aloko tayari eti kujenga nyumba ya mwanamke mwenzie mwenye mamlaka ya kila kitu cha huyoo mwanaume wao, ni unafiki ulotukuka...

Kuna maradhi, alivyokukubali wewe atamkubali na mwengine na mwengine na hapo ndo chanzo cha kumuambukiza mkeo alotulia ndani....

Hebu tuvae viatu vya wale tunaowatafutia hizi nyumba ndogo jamanii, inauma tena inaumiza mnoo tuwe na walau hofu kidogoo... Tunajua mnazo hizooo nyumba ila heshima ni muhimu na ikiwezekana cheza salama..
 
Unasema mwanaume avumilie sawa, kuna siku nyumba za uswahilini jamaa katoka na kopo anaenda chooni kapitiliza na kopo mpaka nje ya nyumba anaongea mwenyewe, huyo avumilie tu!!! Jamani ili uwe na amani tafuta mahali ilipo, ukisema Bible inakataza endekea kuokota makopo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumba ndogo ina usingi imara upi zaidi ya kubomoa ndoa ya mwenzie hivi umelalia upande upi leo kaka halaf acha kushawishi wenzio wawe na nyumba ndogo yaan umeelezea kama ni kitu cha kawaida kuwa na nyumba ndogo kaka mshana
Kwa wanaume hiyo ni kawaida mdogo wangu, hapo wanaojifanya watakatifu ni uongo kabisaa... Pamoja na kwamba nyumba ndogo zinabomoa nyumba kubwa hawajifunzi kabisaa...

Mie nasema tuu heshima iwepo kwa bi mkubwa tuu, sio kwenda kumponda bi mkubwa kwa hiyo nyumba ndogo...
 
Usidanganye wenzio...

Ni vibaya

Tena vibaya mno


Ukidhani kuwa mkeo hakutoshelezi uvute nyumba ndogo ina maana na mkeo avute mcheps? Unadhani wanaume pia wanatosheleza wake zao? Si vingine mnavumiliana tu???


Si mbaya kwakweli kuwa na nyumba ndogo kama ukiona shemeji hakutoshelezi mahitaji, japo kuna wengine wameingia huko kutokana na stress za ndoa na migogoro lakini wengine ni tamaa tu na kutoridhika na mmoja!

Ushawishì wa nyumba ndogo hutegemea na kiwango cha ujinga alicho nacho mwanaume....

Kitendo cha kuacha mkeo tu na kuhamisha majeshi huko ni upumbavu wa hali ya juu....

Mume mwenye akili na busara hujenga mahusiano imara na mkewe bana we... sasa wale wapumbavu ( in ***** voice) ndio huoa kabisa huko......wengine hufika kipindi hudharau wake zao...huwafukuza au kuwapiga...kutosomesha watoto....na kujengea maghorofa nyumba ndogo...wake zao wanapanda daladala wao wananunulia nyumba ndogo magari

Hao wapenda nyumbandogo imeandikwa:

Kwa mzinzi, kila chakula ni kitamu
Hatochoka nacho mpaka amekufa!

Mtu anavunja nadhiri yake ya ndoa na kujisemea:"Nani ananiona?

Giza limenizunguka na ukuta umenificha!

Hakuna mtu anayeniona ya nini niogope?

Mungu mkuu hatoona dhambi yangu!"

Woga wa mtu huyo ni kwa watu tu. Hajui kuwa macho ya Bwana ni maangavu mara elfu kumi kuliko jua. Yanaziona njia zote za binadamu hata zile sehemu zote zilizofichika
(Sira 23:17-19)

Hivyo basi badala ya wenye ndoa zenu kuwa busy na nyumba ndogo hebu wekezeni kwa familia zenu....

Mnachotapanya nyumba ndogo hebu kitumieni na wake zenu muone mtakavyobarikiwa

Nyumba ndogo zina utamu wake, lakini pia zina nguvu na ushawishi wa ajabu kabisa, kuna wengine wamenogewa kabisa na kuhamishia majeshi yote nyumba ndogo ama kuoa kabisa ..... Jihadhari rafiki kuwa makini usije kuangukia huo mtego... Utajuta majuto yote na hutapata wa kujusaidia
Ni nyumba ndogo chache zenye akili hekima na tafakuri! Anajua vema uwepo na umuhimu wa nyumba kubwa.. Hivyo hukusaidia kuijenga kwakuwa anatambua fika kule kukiharibika hata huku amani huwa ndogo
Kuna wenye bahati mbaya walinaswa kwenye nyumba ndogo za hivyo na kunogewa kabisa (sometimes madawa yakitumika), nyumba ndogo hizi zina nia ya kuharibu ama sometimes ni uchoyo tu na ubinafsi.... Kipindi uko kwake kwako umeaga uko semina uko kazini, uko safarini uko na washkaji nk nk, Anajua uongo wote uliokuwa ukidanganya......
Leo hii unataliki mkeo halali wa ndoa na kwenda kuishi na bi mdogo... MY FRIEND UMEKWISHA... Utamdanganya nini mwizi? Utakuwa umejipeleka mwenyewe kifungoni kwenye gereza la kujitakia.... Utapekuliwa wallet, utapekuliwa simu, utapekuliwa nguo! Utafuatiliwa kazini, utachaguliwa marafiki na utapangiwa muda wa kurudi nyumbani na hata muda wa kutoka weekend.... Furaha yako itageuka fadhaa
Nikukumbushe tu rafiki cheza kwa step


Hata siku moja nyumba ndogo sio msingi


Nyumba ndogo ni uharibufu

Ni shimo

Ni kuharibu baraka za nyumba yako

Ni anguko

Ni angamizo

Mwisho wa siku huharibu furaha ya familia

Hujenga chuki na visasi huharibu familia



NB : Nyumba ndogo nyie ndio msingi imara wa ndoa nyingi, bebeni kwa weledi hili jukumu huku mkitambua fika kwamba SIKIO no SIKIO tuu kamwe haliwezi kuzidi KICHWA

Sent using Jamii Forums mobile app

Anyway,


Nimepita
 
Kwa wanaume hiyo ni kawaida mdogo wangu, hapo wanaojifanya watakatifu ni uongo kabisaa... Pamoja na kwamba nyumba ndogo zinabomoa nyumba kubwa hawajifunzi kabisaa...

Mie nasema tuu heshima iwepo kwa bi mkubwa tuu, sio kwenda kumponda bi mkubwa kwa hiyo nyumba ndogo...
Sawa dada ni kawaida kwao kuwa na nyumba ndogo hivi mtu hujawahi mkosea kwa chochote ni tamaa zake tu zilizomfanya atoke nje akirudi ni dharau kwenda mbele hamna masikilizano hapo dada bi mkubwa atajifunza nini kikubwa hivi viumbe ni kukaa nao kwa akili
 
Sawa dada ni kawaida kwao kuwa na nyumba ndogo hivi mtu hujawahi mkosea kwa chochote ni tamaa zake tu zilizomfanya atoke nje akirudi ni dharau kwenda mbele hamna masikilizano hapo dada bi mkubwa atajifunza nini kikubwa hivi viumbe ni kukaa nao kwa akili
Ni wachache mnoo wanaojitambua linapokuja swala la nyumba ndogo, lakinii hao wengine ni changamotoo tuu..
 
Ni wachache mnoo wanaojitambua linapokuja swala la nyumba ndogo, lakinii hao wengine ni changamotoo tuu..
Kweli kabisa na mwanaume mwingine anaweza kuwa na nyumba ndogo we mkewe usijue kitu wala usihisi kitu cha tofauti ngoja sasa uwakute wenzangu na mie hapo mpaka simu anaweza pokea mbele yako
 
Hakuna jema linalotoka kwenye nyumba ndogo

Ni uharibifu mtupu

Sema tamaa na uroho inapochukua nafasi.........
Najua mshana wew umenizid vitu ving kuanzia umri na huwa nakuckiliz San mkuu
BT mm ni mtot wa kiume wa kwanz kwa maza angu BT mzee Wang ni mzee wa michepuko kinyama na wanaotesek ni mama angu na wadogo zangu BT nshawah pandwa na hasira kiac kwamba nikatamka manen mabay kwa mzee.later majibu ake ukikua utajua
Ii kitu co nzur BT ndo vile tena cjui inakuaj

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumba ndogo ina usingi imara upi zaidi ya kubomoa ndoa ya mwenzie hivi umelalia upande upi leo kaka halaf acha kushawishi wenzio wawe na nyumba ndogo yaan umeelezea kama ni kitu cha kawaida kuwa na nyumba ndogo kaka mshana
Shunie lovely sissy ilikuwa ni namna tu ya kunogesha mjadala lakini hebu soma kwa makini sehemu kubwa ya mada hii imeegemea wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asipomponda bi mkubwa nyumba ndogo itaaminije kuwa kashika ukanda?

Sasa raha zaidi ni pale ukute ni aina ya mwanaume anayeeona mapungufu ya wenzie tu (utadhani yeye hana mapungufu, sema tu mkewe anavumilia)... mke atapondwa na kusagwasagwa na kuachwa uchi kabisa kwa small house....
Kwa wanaume hiyo ni kawaida mdogo wangu, hapo wanaojifanya watakatifu ni uongo kabisaa... Pamoja na kwamba nyumba ndogo zinabomoa nyumba kubwa hawajifunzi kabisaa...

Mie nasema tuu heshima iwepo kwa bi mkubwa tuu, sio kwenda kumponda bi mkubwa kwa hiyo nyumba ndogo...
 
Imebidi nichukue biblia yangu niwasome wanaume wa humo nimekosa cha kuchangia nakunyamaza kimya.
 
Kwa wanaume hiyo ni kawaida mdogo wangu, hapo wanaojifanya watakatifu ni uongo kabisaa... Pamoja na kwamba nyumba ndogo zinabomoa nyumba kubwa hawajifunzi kabisaa...

Mie nasema tuu heshima iwepo kwa bi mkubwa tuu, sio kwenda kumponda bi mkubwa kwa hiyo nyumba ndogo...

Aunt ake kwa hiyo mtu akisema hachepuki ni anajifanya mtakatifu? Unafikiri kila mwanaume duniani anaendekeza kuchepuka?
1. Kuna watu wanaomuheshimu na kumcha Mungu, so cheating haipo kwenye mawazo yao. "Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo"

2. Kuna watu wameamua tu kutokucheat as wanaona haina faida kwao. Yes, cheating is a choice. Some people will cheat no matter how good it is, and others won't cheat no matter how bad it is.

Kwa nini hawa watu tusiwatie moyo, instead of kuwakatisha tamaa sijui wanajiona watakatifu mara wanafiki na maneno mengine ya kuwadiscourage? Kwa nini tunapromote sana "uchepukaji" na kuufanya ni kitu cha lazima?, yani tunahalalisha dhambi kwa kiasi hiki khaa! !!. Wanatuumiza mioyo ndo tunawakumbatia kweli na kuwapa moyo wazidi kutuuumiza.
Hayo magroup mawili niliyoyataja, hata mtu ikitokea amechepuka, (no one has immunity to cheating), ni wepesi wa kujuta na kurudi kwenye mstari, ni kitu ambacho kitamuumiza yeye mwenyewe sana na atarepent na kustruggle kurudisha ile trust ilovunjika. Ila wale wanaoona kucheat ni kawaida, hata umfume leo live, atazuga siku 2 ya tatu ana mchepuko mpya. He is unrepentant serial cheater

Hivyo kuchepuka ni heshima? Maana me siilewagi huo msemo wenu "eti achepuke ila amuheshimu mkewe" mmh????????. Kuonesha utupu wake huko nje na kuvunja kiapo chake cha ndoa ndo heshima? Afu usisahau haba na haba hujaza kibaba. Leo utasema it's ok achepuke tu ila aniheshimu sijui, akishanogewa umsahau. Hao wanaohama nyumba zao leo na kuhamia kwa michepuko, hata na wenyewe walianzia na kuchepuka kidogo huku "wakiheshimu" wake zao, ila dhambi ikishakomaa huzaa mauti. So ataendelea kuchepuka hadi ndoa yenu ipate mauti. Hivi kweli tunahalalisha waume kuumiza wake zao wa ndoa au ndo tumeamua tu kuishi kwenye denial???? Hawa wake hawana mioyo au? Afu hakuna kitu kinachoumiza kama emotional abuse, majeraha yake hayaonekani kwa macho ila yana madhara makubwa sana. Wanandoa na waheshimu ndoa zao jamani. Ndoa ni wawili, watatu ni ibilisi, sasa kama kuna ibilisi anayejenga ndoa, haya tutaonaga.
 
Asipomponda bi mkubwa nyumba ndogo itaaminije kuwa kashika ukanda?

Sasa raha zaidi ni pale ukute ni aina ya mwanaume anayeeona mapungufu ya wenzie tu (utadhani yeye hana mapungufu, sema tu mkewe anavumilia)... mke atapondwa na kusagwasagwa na kuachwa uchi kabisa kwa small house....
Hakuna kitu ambacho wanaume wanakoseaga ka kumsema mkewe kwa hizo nyumba ndogo zao.... Wala hamnaga sababu ya msingi ya kumfanya awe na nyumba ndogo, kila mmoja ana mapungufu na wanawake huficha mengi mnoo ili kulinda ndoa.... Hawa wenzetu sijui kipi kinawashinda
 
...mnatuletea homa za Ini ndani ya nyumba,tulieni wapuuzi nyie..
Japo umetutukana, bado nimekupenda bure. Mchepuko sio deal na huwezi kumfuga, especially unapokuwa kwako, yupo huru kukuchepukia tena na tena🙂
 
Back
Top Bottom