Nakukumbusha tu: Nyumba ndogo haziolewi

Nakukumbusha tu: Nyumba ndogo haziolewi

Eti unasema nini wewe Mshana!? Nyumba ndogo ni msingi imara wa ndoa nyingi!? Acha kupotosha wanaume wenzio hivi hiyo michepuko ni misingi au mipasuko!? Hiyo ndio chanzo cha migogoro isiyokwisha kwenye familia nyingi maana moyo ni mmoja hauna nguvu ya kupenda kuwili sawa sawia, wanaume wengi mkishakua na nyumba ndogo dharau kwa wake zenu huzidi Mara dufu. Ogopeni magonjwa hivi huwa mnajiulizaga kipindi unalala kwa mkeo yule hawala yako huwa analala na nani? Sasa hivi kuna gonjwa lisilokingwa na kinga ya condom mnatuletea homa za Ini ndani ya nyumba,tulieni wapuuz nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
duh...punguza hasira bibie it's smaller than that..
 
Ni Mawazo yako sina haja ya kubishana nawe ila huo moyo wako usioumbiwa mmoja unampa mateso mkeo maana ukishapata kipya tu lazima cha zamani utakisahau iwe kwa hiali yako au kwa lazima (kulogwa). Cha kukushauri tu ukimpenda mwingine mpe ruksa mkeo (Talaka) nae akatafute atayempenda,usidhani yeye hapendwi ila anakutunzia heshma yako na yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba uwe NYUMBA NDOGO yangu
 
Ukibahatika ukapata Nyumba ndogo yenye akili ya maisha utasema kwanini ulichelewa!!!!! Nyumba ndogo yenye akili tamu jamani!!!
Ila sio ile Nyumba ndogo kokoro!!!!! Inayokupiga sachi ukiwa usingizini!!!! Hapo kimbia!!!! Rudi kwako fasta!!!!


Siku zote kitu cha wizi ni kitamu kwa ujumla hata kama ukipikiwa kenge na nyumba ndogo wewe unaona ni kuku. Nakumbuka Shemeji yangu alikuwa na nyumba ndogo yake basi huyo mwanamke alisifiwa kweli ana akili ya maisha ana heshima. Ana regret kwa nini aliwahi kuoa mke wake. Mapenzi yalivyokolea akamuua kumuoa kabisa sasa hivi hana hamu nae na ktk kitu anacho regret ktk maisha yake ni hicho cha kuoa huyo mpango wa kando. Sasa hivi anaishi kujinywea pombe tu. Na ndio maana hata wake zenu wakibwa mipango ya kando kwa wengine wanaonekana Lulu.
 
Inakuwaje unasema nyumba ndogo ni muhimu, kwa maana wanaume ndivyo tulivyoumbwa; sasa hapo ndoa inakuwa ni kwa ajili ya nini?

Tuache dini na mambo mengine, kama ni vizuri kuwa free na idadi yoyote ya wanawake, kwanini sasa ndoa zifungwe?

Kwa maana rahisi, maamuzi ya busara zaidi ni ya kutoingia katika ndoa kabisa kama ndoa yenyewe haina maana.

Au tunafunga, ku-impress ndugu na jamaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Mawazo yako sina haja ya kubishana nawe ila huo moyo wako usioumbiwa mmoja unampa mateso mkeo maana ukishapata kipya tu lazima cha zamani utakisahau iwe kwa hiali yako au kwa lazima (kulogwa). Cha kukushauri tu ukimpenda mwingine mpe ruksa mkeo (Talaka) nae akatafute atayempenda,usidhani yeye hapendwi ila anakutunzia heshma yako na yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli sio kwamba hatupendwi labda tuwe tunawakumbusha kumbusha ili wajue kuwa nasi tunasumbuliwa sana tu sema tunalinda heshima!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti unasema nini wewe Mshana!? Nyumba ndogo ni msingi imara wa ndoa nyingi!? Acha kupotosha wanaume wenzio hivi hiyo michepuko ni misingi au mipasuko!? Hiyo ndio chanzo cha migogoro isiyokwisha kwenye familia nyingi maana moyo ni mmoja hauna nguvu ya kupenda kuwili sawa sawia, wanaume wengi mkishakua na nyumba ndogo dharau kwa wake zenu huzidi Mara dufu. Ogopeni magonjwa hivi huwa mnajiulizaga kipindi unalala kwa mkeo yule hawala yako huwa analala na nani? Sasa hivi kuna gonjwa lisilokingwa na kinga ya condom mnatuletea homa za Ini ndani ya nyumba,tulieni wapuuz nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
....So touching mamito, just curious hivi homa ya ini inaambukizwaje? Na yenyewe ni kale kale kasukari ketu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom