Nakukumbusha tu: Nyumba ndogo haziolewi

Nakukumbusha tu: Nyumba ndogo haziolewi

Eti unasema nini wewe Mshana!? Nyumba ndogo ni msingi imara wa ndoa nyingi!? Acha kupotosha wanaume wenzio hivi hiyo michepuko ni misingi au mipasuko!? Hivyo ndio chanzo cha migogoro isiyokwisha kwenye familia nyingi maana moyo ni mmoja hauna nguvu ya kupenda kuwili sawa sawia, wanaume wengi mkishakua na nyumba ndogo dharau kwa wake zenu huzidi Mara dufu. Ogopeni magonjwa hivi huwa mnajiulizaga kipindi unalala kwa mkeo yule hawala yako huwa analala na nani? Sasa hivi kuna gonjwa lisilokingwa na kinga ya condom mnatuletea homa za Ini ndani ya nyumba,tulieni wapuuz nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
Homa ya ini ni janga !cha ajabu hawaliwazii.Wanatuua huku tunaona!!mweeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Mawazo yako sina haja ya kubishana nawe ila huo moyo wako usioumbiwa mmoja unampa mateso mkeo maana ukishapata kipya tu lazima cha zamani utakisahau iwe kwa hiali yako au kwa lazima (kulogwa). Cha kukushauri tu ukimpenda mwingine mpe ruksa mkeo (Talaka) nae akatafute atayempenda,usidhani yeye hapendwi ila anakutunzia heshma yako na yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekupenda bure ma![emoji818]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aunt ake kwa hiyo mtu akisema hachepuki ni anajifanya mtakatifu? Unafikiri kila mwanaume duniani anaendekeza kuchepuka?
1. Kuna watu wanaomuheshimu na kumcha Mungu, so cheating haipo kwenye mawazo yao. "Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo"

2. Kuna watu wameamua tu kutokucheat as wanaona haina faida kwao. Yes, cheating is a choice. Some people will cheat no matter how good it is, and others won't cheat no matter how bad it is.

Kwa nini hawa watu tusiwatie moyo, instead of kuwakatisha tamaa sijui wanajiona watakatifu na maneno mengine ya kuwadiscourage? Kwa nini tunapromote sana "uchepukaji" na kuufanya ni kitu cha lazima, yani tunahalalisha dhambi kwa kiasi hiki khaa! !!. Wanatuumiza mioyo ndo tunawakumbatia kweli na kuwapa moyo wazidi kutuuumiza.
Hayo magroup mawili niliyoyataja, hata mtu ikitokea amechepuka, (no one has immunity to cheating), ni wepesi wa kujuta na kurudi kwenye mstari, ni kitu ambacho kitamuumiza yeye mwenyewe sana na atarepent na kustruggle kurudisha ile trust ilovunjika. Ila wale wanaoona kucheat ni kawaida, hata umfume leo live, atazuga siku 2 ya tatu ana mchepuko mpya

Hivyo kuchepuka ni heshima? Maana me siilewagi huo msemo wenu "eti achepuke ila amuheshimu mkewe" mmh????????. Kuonesha utupu wake huko nje na kuvunja kiapo chake cha ndoa ndo heshima? Afu usisahau haba na haba hujaza kibaba. Leo utasema it's ok achepuke tu ila aniheshimu sijui, akishanogewa umsahau. Hao wanaohama nyumba zao leo na kuhamia kwa michepuko, hata na wenyewe walianzia na kuchepuka kidogo huku "wakiheshimu" wake zao, ila dhambi ikishakomaa huzaa mauti. So ataendelea kuchepuka hadi ndoa yenu ipate mauti. Hivi kweli tunahalalisha waume kuumiza wake zao wa ndoa au ndo tumeamua tu kuishi kwenye denial???? Hawa wake hawana mioyo au? Afu hakuna kitu kinachoumiza kama emotional abuse, majeraha yake hayaonekani kwa macho ila yana madhara makubwa sana. Wanandoa na waheshimu ndoa zao jamani. Ndoa ni wawili, watatu ni ibilisi, sasa kama kuna ibilisi anayejenga ndoa, haya tutaonaga.
Eti hebu waelezee waelewe mama,tatizo wafanya dhambi hudhani wenzao wote hufanya kuwazidi wao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aunt ake kwa hiyo mtu akisema hachepuki ni anajifanya mtakatifu? Unafikiri kila mwanaume duniani anaendekeza kuchepuka?
1. Kuna watu wanaomuheshimu na kumcha Mungu, so cheating haipo kwenye mawazo yao. "Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo"

2. Kuna watu wameamua tu kutokucheat as wanaona haina faida kwao. Yes, cheating is a choice. Some people will cheat no matter how good it is, and others won't cheat no matter how bad it is.

Kwa nini hawa watu tusiwatie moyo, instead of kuwakatisha tamaa sijui wanajiona watakatifu na maneno mengine ya kuwadiscourage? Kwa nini tunapromote sana "uchepukaji" na kuufanya ni kitu cha lazima, yani tunahalalisha dhambi kwa kiasi hiki khaa! !!. Wanatuumiza mioyo ndo tunawakumbatia kweli na kuwapa moyo wazidi kutuuumiza.
Hayo magroup mawili niliyoyataja, hata mtu ikitokea amechepuka, (no one has immunity to cheating), ni wepesi wa kujuta na kurudi kwenye mstari, ni kitu ambacho kitamuumiza yeye mwenyewe sana na atarepent na kustruggle kurudisha ile trust ilovunjika. Ila wale wanaoona kucheat ni kawaida, hata umfume leo live, atazuga siku 2 ya tatu ana mchepuko mpya

Hivyo kuchepuka ni heshima? Maana me siilewagi huo msemo wenu "eti achepuke ila amuheshimu mkewe" mmh????????. Kuonesha utupu wake huko nje na kuvunja kiapo chake cha ndoa ndo heshima? Afu usisahau haba na haba hujaza kibaba. Leo utasema it's ok achepuke tu ila aniheshimu sijui, akishanogewa umsahau. Hao wanaohama nyumba zao leo na kuhamia kwa michepuko, hata na wenyewe walianzia na kuchepuka kidogo huku "wakiheshimu" wake zao, ila dhambi ikishakomaa huzaa mauti. So ataendelea kuchepuka hadi ndoa yenu ipate mauti. Hivi kweli tunahalalisha waume kuumiza wake zao wa ndoa au ndo tumeamua tu kuishi kwenye denial???? Hawa wake hawana mioyo au? Afu hakuna kitu kinachoumiza kama emotional abuse, majeraha yake hayaonekani kwa macho ila yana madhara makubwa sana. Wanandoa na waheshimu ndoa zao jamani. Ndoa ni wawili, watatu ni ibilisi, sasa kama kuna ibilisi anayejenga ndoa, haya tutaonaga.
Hao unaowazungumzia antie ni mmoja kwa kumi, na hamna anaehalalisha nyumba ndogo hizi ndo chanzo cha familia kuvunjika. Hiyo asilimia ndogo ya waaminifu Mungu azidi kuwapa kila lililo jema...

Tatizo la nyumba ndogo limekuwa sugu na ninaposema heshima sio kuhalalisha ni kumfanya bi mkubwa awe na maisha ya amani... Ni heri uishi ukiwa hujui kama mwenzako anachepuka maana ukiligundua hiloo tuu hamna amani tena ndani ya nyumba
 
Eti unasema nini wewe Mshana!? Nyumba ndogo ni msingi imara wa ndoa nyingi!? Acha kupotosha wanaume wenzio hivi hiyo michepuko ni misingi au mipasuko!? Hiyo ndio chanzo cha migogoro isiyokwisha kwenye familia nyingi maana moyo ni mmoja hauna nguvu ya kupenda kuwili sawa sawia, wanaume wengi mkishakua na nyumba ndogo dharau kwa wake zenu huzidi Mara dufu. Ogopeni magonjwa hivi huwa mnajiulizaga kipindi unalala kwa mkeo yule hawala yako huwa analala na nani? Sasa hivi kuna gonjwa lisilokingwa na kinga ya condom mnatuletea homa za Ini ndani ya nyumba,tulieni wapuuz nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hujawahi kuwa mwanaume ukawa na uwezo wa kumkosoa mshana jr . Amenena kweli nyumba ndogo inaimarisha ndoa hasa nyie ambao kwa kiasi kikubwa huwa hamjitambui. Wengi wa wake zetu ubinafsi umewajaa likija suala la sex. Atakweleza unataka kila siku kwani ugali? Nakadhalika
 
Sio kila mtu ameumbwa kuolewa au kuoa, ni mawazo ya ki... kabisa kusema kila mtu alizaliwa ili aolewe au aoe
 
Wewe hujawahi kuwa mwanaume ukawa na uwezo wa kumkosoa mshana jr . Amenena kweli nyumba ndogo inaimarisha ndoa hasa nyie ambao kwa kiasi kikubwa huwa hamjitambui. Wengi wa wake zetu ubinafsi umewajaa likija suala la sex. Atakweleza unataka kila siku kwani ugali? Nakadhalika
Asante malaika usiyekosea kwa mkeo! ila ukiona hataki kukupa kilichokufanya umuoea kaa nae chini zungumza nae,ukiona hakuelewi basi muondoe kwa Talaka umchukue huyo atakayekupa muda wote kama pumzi,hili si jambo la ajabu lakini litakua la kushangaza kama utazidisha makosa juu ya kosa la mkeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao unaowazungumzia antie ni mmoja kwa kumi, na hamna anaehalalisha nyumba ndogo hizi ndo chanzo cha familia kuvunjika. Hiyo asilimia ndogo ya waaminifu Mungu azidi kuwapa kila lililo jema...

Tatizo la nyumba ndogo limekuwa sugu na ninaposema heshima sio kuhalalisha ni kumfanya bi mkubwa awe na maisha ya amani... Ni heri uishi ukiwa hujui kama mwenzako anachepuka maana ukiligundua hiloo tuu hamna amani tena ndani ya nyumba
Aunt hakunaga furaha wala amani ya kweli inayochangamana na dhambi, labda tu furaha ya kujionesha mbele za watu. Dhambi whether ifanyike hadharani au kwa siri ni dhambi tu na madhara yake yataonekana tu in no time. Utasema afanye siri usijue ila utashangaa tu ushapata ngwengwe au homa ya ini, unakuwa umeepuka nini? Afu unategemea huo mchepuko huko ulipo uendelee tu kubehave ili wewe ndoa yako iishi kwa amani, nani kasema? Na kuna michepuko mishirikina kama nini, ikikuonea huruma sana basi utapigwa kichaa, otherwise you are dead and gone na nafasi yako inachukuliwa officially, umepata nini sasa? Unahisi kila mchepuko hautamani kuolewa? Afu Kubwa kuliko yote, uasherati unaua ndoa spiritually, kila siku tunasema hapa ooh ndoa za siku hizi blah blah, ndoa itadumu vipi huku mmeshavunja kile kiapo cha ndoa yenu mbele za Mungu? Tutaendelea tu kucount miaka tunayoishi kwenye nyumba moja ila ndoa kushney

Afu sisi ndo wanafiki wa kwanza, kuwasema wasio na ndoa au wanaoishi bila ndoa, huku ndoa zetu ni simply open relationships, you simply married a husband/wife of many nations. Tofauti ya wanaoishi bila ndoa na wenye ndoa haionekani kwa sababu wanandoa hawaiheshimu ndoa yenyewe. Mtu kaoa ila hadi uone pete ndo unagundua kuwa kaoa, ufuska kuliko bachelors khaa.
 
Asante malaika usiyekosea kwa mkeo! ila ukiona hataki kukupa kilichokufanya umuoea kaa nae chini zungumza nae,ukiona hakuelewi basi muondoe kwa Talaka umchukue huyo atakayekupa muda wote kama pumzi,hili si jambo la ajabu lakini litakua la kushangaza kama utazidisha makosa juu ya kosa la mkeo

Sent using Jamii Forums mobile app
Me nawashangaaga ujue, mtu kama hakupi unachotaka si umuache tu basi uende moja kwa moja huko nje unakopewa furaha ya maisha? Hivi wanaume wao ni malaika kwenye ndoa hawakoseagi? Maana wao mke ukikosea kidogo tu, eeh basi kashapata solution ya kuchepuka. Wengine huko kwenye kuchepuka kwenyewe wanaishia tu kudhalilisha wake zao, kujitutumua huku mambo hawayawezi. Mkipita mitaani story tu, bwana yule usimuone kachomekea hahhaha. Shame
 
Hii inatofautiana kati ya nyumba ndogo zinazoelewa. Mm nina nyumba ndogo, huwa nafurahia maisha sana maana heshima kote ipo. Tatizo ukiwa na wanawake tegemezi, wasio na kipato chao ndio tatizo linapotokea.
 
Mosi, Mimi kama mwanaume napingana kwa 100% na nyumba ndogo kwani huo ni uzinifu na uzinifu wowote hauna matokeo mema hata kwa huyo mzinifu mwenyewe achilia mbali ndoa ya huyo mzinifu.
Pili, huenda Mshana jr hakuwa na nia mbaya kabisa na alikuwa na point kubwa sema uwasilishaji wake ndo haukuwa sawa.

Tatu, hakuna atakayepinga hata mmoja kwamba mwanamke na mwanaume ni viumbe wawili wanaofanana vyema kwa vitu vingi lakini pia wana tofauti chungu nzima, mpaka Yesu anarudi mwanamke na mwanaume hawawezi kuwa na usawa wa kila kitu, lazima watatofautiana kwenye baadhi ya mambo. Mfano kimaumbile mwanamke anapitia vipindi kadhaa ambavyo mumewe hapitii kama hedhi, uzazi, hivi ni vipindi ambavyo mwanamke inabidi akae bench asishiriki haki ya ndoa, walau hedhi si siku nyingi lakini uzazi unachukua siku nyingi.
Kwa wanaume pia wanatofautiana wenyewe kwa wenyewe kuna wanaoweza kukaa kipindi kirefu bila kushiriki tendo la ndoa na kuna wasioweza. Sasa hilo group la pili ndo hupata shida sana kwenye dharura ya kimaumbile ya mwanamke.
Lakini pia kwa takwimu sahihi ni dhahiri kabisa idadi ya wanawake ni kubwa zaidi ya wanaume (hapo kwenye idadi ya wanaume watoe wasio na nguvu za kiume, wazee na wanaoshiriki ushoga), hivyo inapelekea imbalance kwenye suala la mahusiano, wengi hawaoni hilo kwa kuwa huwa hawafanyi research lakini pia wengi ni wabinafsi.

Hitimisho: busara au suluhisho ya changamoto hizo si nyumba ndogo bali ni mwanaume kuongeza mke wa halali lakini katika misingi sahihi itakayohakikisha hadidimizi haki zozote za mke mkubwa, yaani awe muadilifu na kama hauwezi uadilifu basi ajitahidi kuvumilia japo kimaumbile huwa ni kutwanga maji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aunt hakunaga furaha wala amani ya kweli inayochangamana na dhambi, labda tu furaha ya kujionesha mbele za watu. Dhambi whether ifanyike hadharani au kwa siri ni dhambi tu na madhara yake yataonekana tu in no time. Utasema afanye siri usijue ila utashangaa tu ushapata ngwengwe au homa ya ini, unakuwa umeepuka nini? Afu unategemea huo mchepuko huko ulipo uendelee tu kubehave ili wewe ndoa yako iishi kwa amani, nani kasema? Na kuna michepuko mishirikina kama nini, ikikuonea huruma sana basi utapigwa kichaa, otherwise you are dead and gone na nafasi yako inachukuliwa officially, umepata nini sasa? Unahisi kila mchepuko hautamani kuolewa? Afu Kubwa kuliko yote, uasherati unaua ndoa spiritually, kila siku tunasema hapa ooh ndoa za siku hizi blah blah, ndoa itadumu vipi huku mmeshavunja kile kiapo cha ndoa yenu mbele za Mungu? Tutaendelea tu kucount miaka tunayoishi kwenye nyumba moja ila ndoa kushney

Afu sisi ndo wanafiki wa kwanza, kuwasema wasio na ndoa au wanaoishi bila ndoa, huku ndoa zetu ni simply open relationships, you simply married a husband/wife of many nations. Tofauti ya wanaoishi bila ndoa na wenye ndoa haionekani kwa sababu wanandoa hawaiheshimu ndoa yenyewe. Mtu kaoa ila hadi uone pete ndo unagundua kuwa kaoa, ufuska kuliko bachelors khaa.
Uyasemayo ni Kweli na chanzo cha hayo yote ni kutokuwa na hofu ya Mungu.. Familia nyingiii zinabomoka sababu hiyo na hata wale wenye hofu ya Mungu hupata majaribu pia...

La muhimu ni kusimama kwenye maombi wewe mwanamke kabla ya kuingia humo ili Mungu akupe wako peke yako na ukishaingia kwenye hizo ndoa uendeleze maombi pia ya kumlinda mumeo....ndoa nyingiii unazoona zimesimama ukichunguza kuna mmoja kasimama haswa kwenye imani, achana na hii ya kuomba kwa mazoea...
 
Mosi, Mimi kama mwanaume napingana kwa 100% na nyumba ndogo kwani huo ni uzinifu na uzinifu wowote hauna matokeo mema hata kwa huyo mzinifu mwenyewe achilia mbali ndoa ya huyo mzinifu.
Pili, huenda Mshana jr hakuwa na nia mbaya kabisa na alikuwa na point kubwa sema uwasilishaji wake ndo haukuwa sawa.

Tatu, hakuna atakayepinga hata mmoja kwamba mwanamke na mwanaume ni viumbe wawili wanaofanana vyema kwa vitu vingi lakini pia wana tofauti chungu nzima, mpaka Yesu anarudi mwanamke na mwanaume hawawezi kuwa na usawa wa kila kitu, lazima watatofautiana kwenye baadhi ya mambo. Mfano kimaumbile mwanamke anapitia vipindi kadhaa ambavyo mumewe hapitii kama hedhi, uzazi, hivi ni vipindi ambavyo mwanamke inabidi akae bench asishiriki haki ya ndoa, walau hedhi si siku nyingi lakini uzazi unachukua siku nyingi.
Kwa wanaume pia wanatofautiana wenyewe kwa wenyewe kuna wanaoweza kukaa kipindi kirefu bila kushiriki tendo la ndoa na kuna wasioweza. Sasa hilo group la pili ndo hupata shida sana kwenye dharura ya kimaumbile ya mwanamke.
Lakini pia kwa takwimu sahihi ni dhahiri kabisa idadi ya wanawake ni kubwa zaidi ya wanaume (hapo kwenye idadi ya wanaume watoe wasio na nguvu za kiume, wazee na wanaoshiriki ushoga), hivyo inapelekea imbalance kwenye suala la mahusiano, wengi hawaoni hilo kwa kuwa huwa hawafanyi research lakini pia wengi ni wabinafsi.

Hitimisho: busara au suluhisho ya changamoto hizo si nyumba ndogo bali ni mwanaume kuongeza mke wa halali lakini katika misingi sahihi itakayohakikisha hadidimizi haki zozote za mke mkubwa, yaani awe muadilifu na kama hauwezi uadilifu basi ajitahidi kuvumilia japo kimaumbile huwa ni kutwanga maji

Sent using Jamii Forums mobile app
Napingana na wewe kwenye hilo la uzazi,kuna njia nyingi sana kwa mwanaume anayejali na kujitambua kupunguza ashki za mwili wake! Sasa kwanini msishirikiane na mkeo mkapunguza hizo hisia zako bila ya kusababisha madhara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Me nawashangaaga ujue, mtu kama hakupi unachotaka si umuache tu basi uende moja kwa moja huko nje unakopewa furaha ya maisha? Hivi wanaume wao ni malaika kwenye ndoa hawakoseagi? Maana wao mke ukikosea kidogo tu, eeh basi kashapata solution ya kuchepuka. Wengine huko kwenye kuchepuka kwenyewe wanaishia tu kudhalilisha wake zao, kujitutumua huku mambo hawayawezi. Mkipita mitaani story tu, bwana yule usimuone kachomekea hahhaha. Shame
Hahahaa kauramba mkanda nje kumbe ndani......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom