Nakukumbusha tu: Nyumba ndogo haziolewi

Nakukumbusha tu: Nyumba ndogo haziolewi

Sijaelewa!

Mwanaume mwenye matatizo ya ED awe na wanawake wengi wa nini sasa?

Anafanya nao nini?

Haoni kuwa, kuwa na wanawake wengi hivyo halafu hawezi kufanya nao lolote ni kujichoresha?

Hao wanawake wote wataweza kweli kumsitiria siri yake ya ukosefu wa nguvu za kiume?

Anywho, nadhani hizi assumptions tu juu ya watu. Si ukweli wala uhalisia wa mtu binafsi/ mtu mmoja mmoja.

Ukweli pekee anaujua mhusika.

Ila bado sioni kabisa mantiki ya mtu asiye na nguvu za kiume kutaka kujihusisha kimapenzi na wanawake wengi ambao hawezi kufanya nao mapenzi! Weird!
 
Hata kama utapingana na jamaa ukweli ni kwamba wanaume wengi hata ufanye nn kwake, amekupenda, amekuoa, unahisi anakuheshimu uko peke yako, lakini mchepuko lazima anakuwa nao......Mimi huwa nawaza Mungu angekuwa anarudisha muda nyuma unafanya maamuzi upya ngekuwa afazali sana

Wewe huna mchepuko? Hujawahi kuchepuka?
 
Wewe huna mchepuko? Hujawahi kuchepuka?
Sjawahi kuwa ktk mahusiano na mtu zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja....kwenye ndoa kabisaaa stegemei kutoka nje....atatembea, atazurura atarudi atanikuta namsubiri
 
Sjawahi kuwa ktk mahusiano na mtu zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja....kwenye ndoa kabisaaa stegemei kutoka nje....atatembea, atazurura atarudi atanikuta namsubiri
Mke mwema
 
@s
Kuna dhambi umeiona hapo
@sweet16 sio dhambi mama ni vile nimesema ,coz najua uenda jamaa anafanya vitu vya ajabu mpka ujute akini usingesema unajuta ungesema namna nyingie coz hiyo inafanya kama unakufuru coz ndoa ni baraka na kama uliapa kanisani au msikitini ni uliapa mbele za Mungu so nikushukuru kwa yote uenda ungepewa mtu mbaya kuliko huyo ,.n kingine wako ambao wanatamani nafasi kama yako ila wamekosa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sjawahi kuwa ktk mahusiano na mtu zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja....kwenye ndoa kabisaaa stegemei kutoka nje....atatembea, atazurura atarudi atanikuta namsubiri

Okay, sawa. Siwezi kukukatalia.

Ila pia nawajua wanawake wengi tu waliopo kwenye ndoa na ambao wanacheat lakini wako kwenye denial kuwa wanacheat.

Pole.
 
hahahaha demi nimemsomea hii comment dadangu had amepaliwa...mie niwe mkweli sina iman..yaan sina iman kbsaaaa...hb ht mama ananiambia nirudi kanisani[emoji23][emoji23][emoji23] sema mm mwili ushajifreeze..mwenzangu ameanza kusali novena leo ana siku ya5[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...anasem mke wangu rahab unayoitka ndo hii novena...hahahahha mie namwangalia tu huku najitikisa[emoji21][emoji21][emoji21]
Kwanini huna imani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]....haya mambo ya maombi mwenzangu inategemea na ngekewa mtu uliyonayo daaah!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nachelea kusema ww ni mwanamke unayejitambua... km unaona mambo hayaend hisia zimefariki kwann usitoke tu[emoji21][emoji21]kung'ang'ania kujazana kwa kakobe eti kurudisha upya ndoa yenu while humfeel mtu nikujidanganya...kua sehem niliwah soma.ukiwa na iman sana bas ww jua ni MNAFIKI SANA !huishi ktk ukweli..unakuwa fake sana[emoji87]!
Duuh[emoji848][emoji849][emoji849]umenitisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom