Nakukumbusha tu: Nyumba ndogo haziolewi

Nakukumbusha tu: Nyumba ndogo haziolewi

duh..watasema leten na losheni
Kuna sehemu huku kwetu wanapeleka maji. Sio maji kidogo kwenye chupa..yaani mtu anatoka nyumbani kwake na maji ndio nzima anaenda nayo na kurudi nayo home. Wamama wanateseka sana jamani[emoji23][emoji23][emoji23] imagine unabeba ndoo kichwani mpaka huko kwa nabii, na kurudi nayo nyumbani.
 
Maji ya nini tena?
Kuna sehemu huku kwetu wanapeleka maji. Sio maji kidogo kwenye chupa..yaani mtu anatoka nyumbani kwake na maji ndio nzima anaenda nayo na kurudi nayo home. Wamama wanateseka sana jamani[emoji23][emoji23][emoji23] imagine unabeba ndoo kichwani mpaka huko kwa nabii, na kurudi nayo nyumbani.
 
Kuna sehemu huku kwetu wanapeleka maji. Sio maji kidogo kwenye chupa..yaani mtu anatoka nyumbani kwake na maji ndio nzima anaenda nayo na kurudi nayo home. Wamama wanateseka sana jamani[emoji23][emoji23][emoji23] imagine unabeba ndoo kichwani mpaka huko kwa nabii, na kurudi nayo nyumbani.


😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅nawacheka tu ..ila yoye ni iman
 
😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅nawacheka tu ..ila yoye ni iman
Ni shida kwa kweli, unakuta wanawake wanahama tu makanisa, solutions nyingine unazo wewe mwenyewe usitegemee hao wachungaji watakutatulia kila kitu, sana sana unajiongezea stress. Mtu kutwa kucha anaomba mwanaume arudi sijui nini, kumbe unaweza ishi bila yeye kwanini uwe na stress. Si ajabu hakuwa ni chaguo lako, mtu anayekupenda kwa dhati hatapenda uumie na atakuwa na wewe kwa hali na mali. Ukiona hakujali na anakuumiza huyo si chaguo lako muache aende.
 
Ni shida kwa kweli, unakuta wanawake wanahama tu makanisa, solutions nyingine unazo wewe mwenyewe usitegemee hao wachungaji watakutatulia kila kitu, sana sana unajiongezea stress. Mtu kutwa kucha anaomba mwanaume arudi sijui nini, kumbe unaweza ishi bila yeye kwanini uwe na stress. Si ajabu hakuwa ni chaguo lako, mtu anayekupenda kwa dhati hatapenda uumie na atakuwa na wewe kwa hali na mali. Ukiona hakujali na anakuumiza huyo si chaguo lako muache aende.


100%ni kweli usemayo tusilazimishe mambo jaman
 
Mnawakimbia wenye upendo wa kweli kisa hawana pesa mnawakimbilia vibosile!
Haya ndo matokeo yake.
Mtu kama huyu naye anang’ang’ana kwenye ndoa, huku ni kumdhihaki Mungu. Binadamu hasa wa Africa kwa unafiki hatujambo, mtu kama huyu utakuta mbele za watu anajifanya ana ndoa imara kumbe kaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni shida kwa kweli, unakuta wanawake wanahama tu makanisa, solutions nyingine unazo wewe mwenyewe usitegemee hao wachungaji watakutatulia kila kitu, sana sana unajiongezea stress. Mtu kutwa kucha anaomba mwanaume arudi sijui nini, kumbe unaweza ishi bila yeye kwanini uwe na stress. Si ajabu hakuwa ni chaguo lako, mtu anayekupenda kwa dhati hatapenda uumie na atakuwa na wewe kwa hali na mali. Ukiona hakujali na anakuumiza huyo si chaguo lako muache aende.
Jaman hebunaombeni musaada wenu nina mpenzi wangu nilienda safari kama miaka miwili baada yakuludi nikakuta ana ujauzito wamwingine nilipo kaanae chini akasema ilikua bahati mbaya asa cha majabu nukwamba yule mwenye mzigo bado wana wasiliana asa naomba kuuliza je nikimutelekeza nitakua nime kosea??????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom