Nakukumbusha tu: Nyumba ndogo haziolewi

Nakukumbusha tu: Nyumba ndogo haziolewi

Kumbe[emoji848][emoji848]...umenufungua

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndiyo hivyo mwaya!
Ukiwakuta saluni wanaambizana kabisa kuwa singleman hafai maana akikuhonga hela ni kidogo halafu atakugandaaa weee muda mwingi atataka kuwa na wewe!
Lakini mume wa mtu wala hakugandi [emoji108]
Sababu ana mkewe na familia bado Majukumu ya kazi halafu wana honga hela nyingi sana!
Ndo maana Mtumishi wa Mungu flani alisema ktk kufanya concealing Baadhi ya akina mama wametendwa na waume zao na Kuchoka sana Kiasi cha kumuomba Mungu mapenzi yake ikibidi yatimizwe amtwae mume vile alivyo!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
hili povu kiboko
Eti unasema nini wewe Mshana!? Nyumba ndogo ni msingi imara wa ndoa nyingi!? Acha kupotosha wanaume wenzio hivi hiyo michepuko ni misingi au mipasuko!? Hiyo ndio chanzo cha migogoro isiyokwisha kwenye familia nyingi maana moyo ni mmoja hauna nguvu ya kupenda kuwili sawa sawia, wanaume wengi mkishakua na nyumba ndogo dharau kwa wake zenu huzidi Mara dufu. Ogopeni magonjwa hivi huwa mnajiulizaga kipindi unalala kwa mkeo yule hawala yako huwa analala na nani? Sasa hivi kuna gonjwa lisilokingwa na kinga ya condom mnatuletea homa za Ini ndani ya nyumba,tulieni wapuuz nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni ajali km ajali nyingine.....

Wewe Akilinjema unaonekana mchoyo sana ...

Hujui kwamba idadi ya wanawake ni mara mbili ya wanaume?

Hivi kila mwanamke akiwa mchoyo km wewe, wanawake wengine watahudumiwa na nani?

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji3][emoji3][emoji3]Hiyo ilikuwa miaka ya zamani hivi miaka ya karibuni idadi ilishaanza kuwa sawa almost Kati ya wanaume na wanawake!
Msitake kujificha kwenye hicho kigezo!
Halafu hata ingekuwa kweli hiyo sababu haiwezi kuwa na mashiko hata kwenye dogo!
Wewe oa wako muishi hadi uzeeni muone vilembwe na Vining’ina pamoja !


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume unatakiwa ukimuona mwanamke anakuchekea chekea na kujishebedua na kuji expose umkimbie kama ukoma!
Jua huyo ni cha wote bila Kujali anamvuto kiasi gani!
Huyo haanzi na wewe atakuwa ni mzoefu kwenye mambo hayo!
Sasa badala ya kumdharau na kumkwepa ndo kwanza unahesabu kuwa una bahati ya kupendwa!
Hiyo ni hatari tupu!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo wanaume wengine wenye misimamo sahihi ambao akiona mwanamke anajigonga anamuwahi anamuita “dada “
Akimkuta koridoni anamuita “dada flani ili kumkata makali”
Mara nyingi mwanamke hapo huishia kukasirika na kusonya peke yake maana anaona jamaa kama anamzingua na hasomeki ktk kuingia kwenye line!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo wanaume wengine wenye misimamo sahihi ambao akiona mwanamke anajigonga anamuwahi anamuita “dada “
Akimkuta koridoni anamuita “dada flani ili kumkata makali”
Mara nyingi mwanamke hapo huishia kukasirika na kusonya peke yake maana anaona jamaa kama anamzingua na hasomeki ktk kuingia kwenye line!



Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume wa mtindo huo ana matatizo // si mkamilifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume unatakiwa ukimuona mwanamke anakuchekea chekea na kujishebedua na kuji expose umkimbie kama ukoma!
Jua huyo ni cha wote bila Kujali anamvuto kiasi gani!
Huyo haanzi na wewe atakuwa ni mzoefu kwenye mambo hayo!
Sasa badala ya kumdharau na kumkwepa ndo kwanza unahesabu kuwa una bahati ya kupendwa!
Hiyo ni hatari tupu!


Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo linaitwa zari la mentali. .... ungekuwa mwanaume ungeelewa

yaani mrembo ajigonge halafu nimkimbie?

Jamii itanielewaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijaelewa!

Mwanaume mwenye matatizo ya ED awe na wanawake wengi wa nini sasa?

Anafanya nao nini?

Haoni kuwa, kuwa na wanawake wengi hivyo halafu hawezi kufanya nao lolote ni kujichoresha?

Hao wanawake wote wataweza kweli kumsitiria siri yake ya ukosefu wa nguvu za kiume?

Anywho, nadhani hizi assumptions tu juu ya watu. Si ukweli wala uhalisia wa mtu binafsi/ mtu mmoja mmoja.

Ukweli pekee anaujua mhusika.

Ila bado sioni kabisa mantiki ya mtu asiye na nguvu za kiume kutaka kujihusisha kimapenzi na wanawake wengi ambao hawezi kufanya nao mapenzi! Weird!
We unakubali nyumba ndogo inaimarisha ndoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikukumbushe tu rafiki cheza kwa step
NB : Nyumba ndogo nyie ndio msingi imara wa ndoa nyingi, bebeni kwa weledi hili jukumu huku mkitambua fika kwamba SIKIO ni SIKIO tuu kamwe haliwezi kuzidi KICHWA
 
 
Back
Top Bottom