johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,127
Wakati akiwaapisha Waziri mkuu mh Majaliwa, Waziri wa fedha Dr Mpango na Waziri wa Foreign Prof Kabudi aliyekuwa Rais wa JMT hayati Magufuli alitoa orodha ya Mawaziri Wakuu kuanzia Nyerere hadi Mzee Pinda kisha akasema rekodi ya Mzee Sumaye haitavunjwa
Ngoja tuone
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Ngoja tuone
Mungu wa mbinguni awabariki sana!