Nakosa Imani na nguvu ya kuomba Ajira za TAMISEMI

Nyanda Banka

Member
Mar 14, 2023
31
31
Kila ninaposikia kuhusu suala la kutangazwa kwa ajira za TAMISEMI hususani katika kada yangu ya ualimu napata furaha, lakini mchakato unapoanza hadi kukamilika na matokeo yanapotolewa najikuta mtu mwenye huzuni kubwa sana kwa kukosa hiyo nafasi nimeomba ajira zaidi ya mara 4 tena kwa shauku kubwa.

Wazazi wametusomesha kwa shida wakiamini kuwa tutakuja wakombozi wa familia japo kwa kupitia ajira za serikali lakini mpaka wazazi wetu wanafariki hawajaonja matunda ya elimu ambayo waliipigania kwa mtoto wao inasikitisha na kuumiza sana.

Tumesoma kwa shida kutoka shule zenye mwalimu mmoja mpaka kufika chuo kikuu lakini mambo Bado, msitupambaze na kauli za kusema tujiajiri kumbukeni tumepoteza muda wetu mwingi shuleni hivyo inabidi hiyo elimu itulipe.

We deserves to be employed
 
Basi endelea kusubiri hizo ajira, unachotakiwa kujua unapoambiwa ujiajiri ni kwa faida yako mwenyewe!
 
Mkuu unawaza nni wakat umeaplai mara 4?? Kama umemalza below 2018 kweli unahaja ya kulalmika,lkn naona mfumo wa sasa unaangalia sana waliomalza miaka ya nyuma.
Pia masomo yako ,nazan ungekua mwalimu wa math au phys hata wa 2017,2018 ungekua ushapata tayar ,sema kama art daa wapo weng sanaaaa hii folen haiiishiii
 
Kila ninaposikia kuhusu suala la kutangazwa kwa ajira za TAMISEMI hususani katika kada yangu ya ualimu napata furaha, lakini mchakato unapoanza hadi kukamilika na matokeo yanapotolewa najikuta mtu mwenye huzuni kubwa sana kwa kukosa hiyo nafasi nimeomba ajira zaidi ya mara 4 tena kwa shauku kubwa.

Wazazi wametusomesha kwa shida wakiamini kuwa tutakuja wakombozi wa familia japo kwa kupitia ajira za serikali lakini mpaka wazazi wetu wanafariki hawajaonja matunda ya elimu ambayo waliipigania kwa mtoto wao inasikitisha na kuumiza sana.

Tumesoma kwa shida kutoka shule zenye mwalimu mmoja mpaka kufika chuo kikuu lakini mambo Bado, msitupambaze na kauli za kusema tujiajiri kumbukeni tumepoteza muda wetu mwingi shuleni hivyo inabidi hiyo elimu itulipe.

We deserves to be employed
😢😢😢😢😢😢😢😢. Pole sana, Naomba usikate tamaa.
 
IMG-20230917-WA0000.jpg

Hizi hapa, sasa haijulikani ni mwaka huu, au mwaka kesho 🤔🤔
 
Mkuu unawaza nni wakat umeaplai mara 4?? Kama umemalza below 2018 kweli unahaja ya kulalmika,lkn naona mfumo wa sasa unaangalia sana waliomalza miaka ya nyuma.
Pia masomo yako ,nazan ungekua mwalimu wa math au phys hata wa 2017,2018 ungekua ushapata tayar ,sema kama art daa wapo weng sanaaaa hii folen haiiishiii
Nani katengeneza hii foleni
 
Back
Top Bottom