KERO Wahitimu wa kozi za Afya ngazi ya Diploma zilizo chini ya NACTVET hatujapewa vyeti zaidi ya miezi 6. Tunakwama kuomba ajira

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Wahitimu wa kozi za Afya ngazi ya Diploma nchini zilizopo chini ya Baraza la Elimu na Mafunzo ya Ufundi(NACTVET) tunawasilisha malalamiko kuwa tumemaliza chuo tangu mwezi Septemba 2023 na matokeo yalitoka tangu mwezi Oktoba, lakini cha kushangaza hadi leo hatujapata vyeti vyetu.

Zaidi ya miezi Sita imepita na hakuna taarifa yoyote rasmi ya kusema tutapewa lini vyeti hivyo, na muda unazidi kwenda hali ambayo inazidi kutukatisha tamaa na kututia unyonge sababu hakuna kitu chochote tunaweza kufanya na taaluma zetu bila ya uwepo wa hivyo vyeti

Hatuwezi kuomba ajira hata ya kujitolea sababu hatuna utambulisho wa kuwa tumehitimu zaidi ya hivyo vyeti.!

Tunaomba mtusaidie kupaza sauti juu ya hili na ikiwezekana mtuulizie kwa wahusika ni lini tutapata hivyo vyeti ili tuweze kuendelea na shughuli zingine za kiuchumi ikiwemo kuomba ajira ili kujikwamua kimaisha.!

Aidha natanguliza shukrani zangu za dhati naamiin ombi langu litafanyiwa kazi.

Ahsante.!
 
Wahitimu wa kozi za Afya ngazi ya Diploma nchini zilizopo chini ya Baraza la Elimu na Mafunzo ya Ufundi(NACTVET) tunawasilisha malalamiko kuwa tumemaliza chuo tangu mwezi Septemba 2023 na matokeo yalitoka tangu mwezi Oktoba, lakini cha kushangaza hadi leo hatujapata vyeti vyetu.

Zaidi ya miezi Sita imepita na hakuna taarifa yoyote rasmi ya kusema tutapewa lini vyeti hivyo, na muda unazidi kwenda hali ambayo inazidi kutukatisha tamaa na kututia unyonge sababu hakuna kitu chochote tunaweza kufanya na taaluma zetu bila ya uwepo wa hivyo vyeti

Hatuwezi kuomba ajira hata ya kujitolea sababu hatuna utambulisho wa kuwa tumehitimu zaidi ya hivyo vyeti.!

Tunaomba mtusaidie kupaza sauti juu ya hili na ikiwezekana mtuulizie kwa wahusika ni lini tutapata hivyo vyeti ili tuweze kuendelea na shughuli zingine za kiuchumi ikiwemo kuomba ajira ili kujikwamua kimaisha.!

Aidha natanguliza shukrani zangu za dhati naamiin ombi langu litafanyiwa kazi.

Ahsante.!
Kawaida huwa vinatakiwa vitoke baada ya muda gani?
 
Wahitimu wa kozi za Afya ngazi ya Diploma nchini zilizopo chini ya Baraza la Elimu na Mafunzo ya Ufundi(NACTVET) tunawasilisha malalamiko kuwa tumemaliza chuo tangu mwezi Septemba 2023 na matokeo yalitoka tangu mwezi Oktoba, lakini cha kushangaza hadi leo hatujapata vyeti vyetu.

Zaidi ya miezi Sita imepita na hakuna taarifa yoyote rasmi ya kusema tutapewa lini vyeti hivyo, na muda unazidi kwenda hali ambayo inazidi kutukatisha tamaa na kututia unyonge sababu hakuna kitu chochote tunaweza kufanya na taaluma zetu bila ya uwepo wa hivyo vyeti

Hatuwezi kuomba ajira hata ya kujitolea sababu hatuna utambulisho wa kuwa tumehitimu zaidi ya hivyo vyeti.!

Tunaomba mtusaidie kupaza sauti juu ya hili na ikiwezekana mtuulizie kwa wahusika ni lini tutapata hivyo vyeti ili tuweze kuendelea na shughuli zingine za kiuchumi ikiwemo kuomba ajira ili kujikwamua kimaisha.!

Aidha natanguliza shukrani zangu za dhati naamiin ombi langu litafanyiwa kazi.

Ahsante.!
Polen sana ila msijar mungu atawafanyia wepes
 
Kawaida huwa vinatakiwa vitoke baada ya muda gani?
Vyeti vishatoka ila kuna baadhi ya vyou wanawanyima wahitimu wao vyeti haswa, wale ambao wameishia Astashahada kutokana na changamoto mbalimbali huku wakilazimishwa, kumalizia Stashahada huku hawana huwezo wa kulipa ada chuo kikidai hawatoi vyeti na NACTEVET Wanatoa hivyo vyeti na vimakua chuoni
Unakuta mtu kashafanya hadi mtihani wa leseni kwa kozi za afya, zenye leseni lakini leseni ananyimwa kwa sababu hajaambatanisha cheti ili kupewa leseni yake kwa kweli inahumiza sana

Ebu fikisheni hili kuna chuo kipo kigoma kina hii tabia haliwapi wanafunzi wake vyeti vya Astashahada yaani certificate tangu 2021
Mtusaidie
 
Back
Top Bottom