Nafaka Store
Member
- Feb 24, 2024
- 7
- 3
Unadhani kuwa na elimu ya juu ni kigezo kitakachokusaidia kupata ajira? Tunasisitizwa kuhusu elimu, lakini kwa nini mwenye elimu ya juu zaidi hapati ajira?
Wanaogopa kumuajiri kwamba atakuwa juu zaidi yao au wanaogopa atatakiwa kulipwa mshahara mkubwa wasioumudu?
Watu wana elimu za juu lkn kupata ajira ni kitendawili lkn utashangaa ofisi nyingi wanaajiriwa Bsc holders, wenye diploma n.k. Je ufaulu ni kigezo mbadala kwamba MSc holder ana GPA ndogo?
Na je vijana tunashindwa kujiunga na kudevelop business idea itakayotukwamua kutoka kwenye wimbi la ukosefu wa ajira? Kidole kimoja hakivunji chawa, umoja ni nguvu. Je tumepotezeana imani, hatuaminiani? Je mitaji hatuna? Hamna vyanzo vya kupata mitaji? Hatuna ideas?
Wanaogopa kumuajiri kwamba atakuwa juu zaidi yao au wanaogopa atatakiwa kulipwa mshahara mkubwa wasioumudu?
Watu wana elimu za juu lkn kupata ajira ni kitendawili lkn utashangaa ofisi nyingi wanaajiriwa Bsc holders, wenye diploma n.k. Je ufaulu ni kigezo mbadala kwamba MSc holder ana GPA ndogo?
Na je vijana tunashindwa kujiunga na kudevelop business idea itakayotukwamua kutoka kwenye wimbi la ukosefu wa ajira? Kidole kimoja hakivunji chawa, umoja ni nguvu. Je tumepotezeana imani, hatuaminiani? Je mitaji hatuna? Hamna vyanzo vya kupata mitaji? Hatuna ideas?