Hahah mwana wa abajato acha woga. Mimi toka mwana 2012 huwa nikipanda daladala nina i phone 4 nai pa na sijawahi kuibiwa . Sijisifii manake najua wanaweza kuniotea kama walivyoweza kunipiga passport ila hii ya kupanda dala dala na pp kijiti manake unawaogopa na mbinu zao huzijui
Jana katika mizunguko yangu, nimetoka banana Ukongo mida ya jioni kuelekea Bunju. Kufika Mwenge kukawa na usafiri wa shida sana. Mara gari ya Bunju hiyo.
Abaria tukaanza kufanya mahaba ya kuikumbatia gari toka lango la kungilia mpaka karibu na yanapo paki mabasi ya Tegeta, Bunju ndani ya kituo cha mwenge, sababu konda aligoma kufungua mlango tupande pale yanapo ingilia mabasi.
Baada ya mlango kufunguliwa likatokea purukushani la kufa mtu kuakikisha kila moja anawahi siti. Ile kufika ndani tu najikagua mifukoni Simu yangu holaa, nikaseach mpaka mifuko ya nyuma holaaa.
Najiangalia mfuko mwingine elfu hamsini hola. Nikachoka ghafla nikafa kiumee kimya kimya huku nikipata upweke wa kukosa kuperuzi JF. kwa bahati nzuri mfuko wa shati kulikuwa na ATM card na elfu mbili.
Ndugu zangu, Naaaaaaaajuuuuuuuuuutttttaaaa kuuuuuuuuiiiifahammuuuu Mweengeee Stand.
Ah wapi! Mi mtoto wa town wewe. Mwana Abajaro wa zamani. Nimezipiga sana na Kiboko Msheli.
Mbinu zote wanazozitumia nazijua. Sipandi daladala na chochote cha thamani zaidi ya pipi kijiti.
hehehehe wanasema boni hia hia......Mwenge nilikua najiachia sana kabla sijawa na usafiri binafsi wa mkopo wapiga ndole wote wale wanafyata....Ishu ni kujielewa tu sio unakua unajiachia kama upo sebuleni kwako lazima wakulize.Ah wapi! Mi mtoto wa town wewe. Mwana Abajaro wa zamani. Nimezipiga sana na Kiboko Msheli.
Mbinu zote wanazozitumia nazijua. Sipandi daladala na chochote cha thamani zaidi ya pipi kijiti.
Mimi nliwaambia watoe manyimbo nyimbo yao kwenye line yanguHa ha ha ha, haya mtoto wa Abuja (sinza kwa wajanja)ila mitandao ya simu kila siku inakupiga 250 za nyimbo na sms za ujanjanujanja!! ha ha ha!
hehehehe wanasema boni hia hia......Mwenge nilikua najiachia sana kabla sijawa na usafiri binafsi wa mkopo wapiga ndole wote wale wanafyata....Ishu ni kujielewa tu sio unakua unajiachia kama upo sebuleni kwako lazima wakulize.
Wana viwembe wale
Jana katika mizunguko yangu, nimetoka banana Ukongo mida ya jioni kuelekea Bunju. Kufika Mwenge kukawa na usafiri wa shida sana. Mara gari ya Bunju hiyo.
Abaria tukaanza kufanya mahaba ya kuikumbatia gari toka lango la kungilia mpaka karibu na yanapo paki mabasi ya Tegeta, Bunju ndani ya kituo cha mwenge, sababu konda aligoma kufungua mlango tupande pale yanapo ingilia mabasi.
Baada ya mlango kufunguliwa likatokea purukushani la kufa mtu kuakikisha kila moja anawahi siti. Ile kufika ndani tu najikagua mifukoni Simu yangu holaa, nikaseach mpaka mifuko ya nyuma holaaa.
Najiangalia mfuko mwingine elfu hamsini hola. Nikachoka ghafla nikafa kiumee kimya kimya huku nikipata upweke wa kukosa kuperuzi JF. kwa bahati nzuri mfuko wa shati kulikuwa na ATM card na elfu mbili.
Ndugu zangu, Naaaaaaaajuuuuuuuuuutttttaaaa kuuuuuuuuiiiifahammuuuu Mweengeee Stand.