Hiyo haisaidii. hata ukitembea na mguu wa kuku (bastola) watakuibia tu. Kumbuka silaha huwa inakuwa na msaada pale unapojua kuwa una adui anaye kufuatilia au anaye kuvamia. Lakini kama ni uvamizi wa ghafla au kuviziwa hata uwe na bastola umelala nayo watakuibia pamoja na bastola yakoMi huwa natembea na bisbis...
Hujawahi kuibiwa dogo...........watakuibia siku hadi utawapongeza na halafu ukajichoma yako bisbis kujilaumu!