Najihisi kuchanganyikiwa....

Najihisi kuchanganyikiwa....

Kusema kweli inaniuma sana kwasababu he is so educated and matured hata siamini kama anaweza kufanya such a childish thing!Sielewi ananufaika na nn mimi nikiteseka kusema kweli ningemuelewa angesema hataki kuwa na mimi kuliko anavyofanya!Its not fair wallahi!Nakaa najiuliza why?sipati jibu nimemuomba hata msamaha japo sijui kosa langu!

Angalia bas picha kama kusoma huwez that the way it is
 
alikuwa anajiandaa na Iddi, mpe kama wiki 2 atakucheck
 
Sasaa mbona mtu mwenyewe nae yuko hapa anijfanyisha hata hafahamu chochote???

JF hiii...... hatari
 
Pole sana mdada, itabidi ujifunze kupotezea mapenzi ya dizain hiyo la sivyo utaumia mpaka basi...!
 
Hahaha speed 260 km/hr, duh. Yaani kanipa raha huyu mtoto. Anajistress na ID ya jeiefu hehehe. Mjini kuna vimbwanga. Asante kwa kuniita nijichekee
Khah! Una spidi ya ferari, hataa kabla sijamaliza kukuita ushatia timu?
 
Safi kabisa. Huo ni uamuzi mzuri wa kukata tamaa. Sasa achana nae, jichanganye. Kama hauna kifua muweke kwenye ignore list ili usione hata kivuli chake akajifilie mbali huko. Unaweza pm moderator ama invisible wakuongoze na ignore list.

Hongera umekua sasa!
Nimekata tamaa!sidhani kama atakuja kunitafuta!
 
Hivi huwezi tuma pm kwa id zote kwa mpigo. Penda bwana ufanye moyo kuwa strong lol. Ila ukiniumizia mwanangu tena ujue uhusiano wetu utakuwa kama wa sheikh ponda na serikali ya jamhuri
hhhhhhhhaaaa!!! mkwe halafu mwanao nshamchoka maana simuelewi elewi. hebu nitaftie id nyingine niipende.
 
Hivi huwezi tuma pm kwa id zote kwa mpigo. Penda bwana ufanye moyo kuwa strong lol. Ila ukiniumizia mwanangu tena ujue uhusiano wetu utakuwa kama wa sheikh ponda na serikali ya jamhuri

mkwe mi nishaamua kuwa sister na Eiyer anakuwa padri. malavidavi sasa baaaaaassss.. tunampokea bwana kwa mikono miwili.
 
Last edited by a moderator:
He he he, sidhani kama anakifua
Jamaa akituma PM moja tu, atarukaruka na kurudi mazima ili akatendwe tena.

Safi kabisa. Huo ni uamuzi mzuri wa kukata tamaa. Sasa achana nae, jichanganye. Kama hauna kifua muweke kwenye ignore list ili usione hata kivuli chake akajifilie mbali huko. Unaweza pm moderator ama invisible wakuongoze na ignore list.

Hongera umekua sasa!
 
How u fall 2 sombod hujawai kumwona, kumshika wala kunusa harufu ya kwapa lake??? Nyau wewe.
 
aisee ukiendelea hivyo wanaume watakutenda sana hadi umlaumu Mungu kukuumba mwanamke, uwe unaingia nusu kwanza then nusu nyingine utaimalizia vikao vya harusi vikianza

Nakushukuru... Nimepata point
 
Unatafuta arv wew ebu huyo mtu tupa kuleeeee hakufai hAta kidogo usimlazimishe! Bt pole bhna bi mdada
 
P0le hii ndo dunia taratibu mama usikurupuke utaumbuka maana binadamu si wema
 
Back
Top Bottom