ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,527
- 119,425
cheriefrance mbona unanichoresha jamvini bwana!
Last edited by a moderator:
ha haaa, yaani nimecheka balaa.....mtu anakwambia.....naendesha hummer....mtoto wa kichagga nikisikia hummer naanza kupiga mahesabu ya cc za gari then wese linalomezwa hapo.....kwa nini nisiingie king.....kupiga race moja tu ya hummer ni full tank ya vitz.....nina ujanja........njoo muone mtu mwenyewe sasa.....fuko si fuko.....kapuku si kapuku....basi sida tupu....khaaaa......naipenda JF jamani....ni chuo tosha........
kha! Kama huna lakusema tafadhali kaa kimya tu!cheriefrance mbona unanichoresha jamvini bwana!
Hayupo active kwa sasa ila ni mtu active sana na anajuaga anachokiongea!
kha! Kama huna lakusema tafadhali kaa kimya tu!
Kama mambo kibao unafanya nn hapa?Hebu usinitibue ww tayari nishachafukwa na akili tangia hapo!Sina la kusema wapi bwana.... mwishowe utakuja nitaja afu nisutwe.... sio freshi. Mambo kibao ndo maana umeona kimya ila ntakutafuta.
Ndio kuna watu wanaongea vitu visivyokuwa na kichwa wala miguu.Wengineo hata kuandika kwa usahihi hawajui(mbwembwe nyingiii)Mwe.. ina maana kuna ambao hawajuagi wanachokiongea?!
anyway, basi labda ni majukumu yamembana ndiyo maana hakujibu na hayuko active humu.. hivyo kuwa mvumilivu.
Sawa ALHAMDULILLAHMshukuru MUNGU kwa kila jambo, anakuepusha kitu hapo mwali wangu................ mradi hajakula kidoga ah.
...mmmmmh BAK!
kwani umeishiwa wanaume au ringi (umri) limekata sana?...!!!kusema kweli ningewapenda watoto wake kama wangu i love children,i would help him raise them!
Ooookei kumbe ivolol!!! Ni aje Chocs!? Niliangalia hii ID nikaona ina miezi miwili tu. Sasa miezi miwili tu mnaweza kupendana kiasi hiki kweli mpaka CF achanganyikiwe!? Kwa maoni yangu haiwezekani...ndio nikaomba kujua ID yake ya siku zote lol! Hujambo lakini weye!? Arusha kibaridi bado kinakunyanyasa au kuna ahueni!?
Honestly when i love someone,i truly love them with my whole heart!ndio kilichoniponza hicho...
Hajakugegeda unalalama nini? Akunyimae mbaazi . . .