Najihisi kuchanganyikiwa....

Najihisi kuchanganyikiwa....

Dada pole mwaya weng tunaumia na mapenzi nakila mtu anaumia kivyake.jaribu kumpotezea kaona hauna thaman kwake ndio maana kakufanyia Hivyo unaumije dada pole sana mapenz yanaumaje haswa ukipenda.anza Mchakato wakutafuta mwinine mungu akujalie lakin mpunguzeni vigezo sio lazima amefika chuo Kikuu tupo sisi tulioishia la 7 na tuna mapenzi ya dhati.kila la heri ndugu.
Tatizo sio vigezo ndugu yangu nishakuwa na wa darasa la 7 pia na akaniumiza zaidi ya hivi!najiona si mtu mwenye bahati tu!
 
Unajua nini ndg yangu BAK hata ubadilishe ID humu JF kama si mtaaalamu wa computa au hauwezi kucheza na visimu vya mchina mwandiko utabaki ni uleule. Ndo maana nikasema hivo.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli muandiko haubadiliki banaaaa kama ni ule wa kuremba basi utabaki hivyo hivyo.

Unajua nini ndg yangu BAK hata ubadilishe ID humu JF kama si mtaaalamu wa computa au hauwezi kucheza na visimu vya mchina mwandiko utabaki ni uleule. Ndo maana nikasema hivo.
 
Pole sana, labda hujakidhi viwango alivyojiwekea....
 
Pole dada, mapenzi ya utu uzima ni very complicated. Tunapenda tofauti, na wala sikulaumu kwa kuuachia moyo wako mapema ila tuko kwenye generation ilolaaniwa.... inabidi uchukue tahadhari kabla ya kutoa moyo wako kwa mwingine.
Muombe Mungu nae atakupa kadri ya mapenzi yake.
 
ha ha ha.......pole sana....sio kwamba nakucheka lakini JF ni zaidi ya uijuavyo........kuna watu wana mbwembwe humu.....ukimuona unaweza uzimie.......labda ulikuwa nje ya matarajio yake..........hiyo ipo sana........watu kujishaua....kumbe hakuna kitu........
 
ha ha ha.......pole sana....sio kwamba nakucheka lakini JF ni zaidi ya uijuavyo........kuna watu wana mbwembwe humu.....ukimuona unaweza uzimie.......labda ulikuwa nje ya matarajio yake..........hiyo ipo sana........watu kujishaua....kumbe hakuna kitu........
ha haaa......
na nadhani sasa ni wakati muafaka wa kuanzishwa jukwaa la heart breaking....
maana naona watu wengi sana wanabreakiwa hearts zao humu humu
cc. Invisible
 
Last edited by a moderator:
CherieFrance Huyo ni mume wa mtu period! mwenye mali karudi au kamshtukia amebana mianya yooote! Pole sana
 
Nilikuwa naskiaga tu kuwa wanawake walimu wao Vipofu.Kumbe hii misemo ni kweli eeeh!Hainiingii akilini we u fall kwa mtu tu kupitia JF? Au una kale ka disease ka Kupenda? Dada amka wadada wengi sasa hivi wameamka CC wanaume tumejawa na maneno matam na nyimbo na mistari ya kimahaba pindi tumuhitajipo mwanamke.,Kuwa makini.Kuna kila dalili hapo ninavyoona kwa jinsi unavyoelezea kuwa huyo Jamaa hana time na ww.Cha ajabu atakuja na Excuse kibao na mlivyo Vipofu utamkubalia baadae utaanza kulia tena.Dont let lv Control ur mind....Let your mind Control Love.Pole dada
 
ha haaa......
na nadhani sasa ni wakati muafaka wa kuanzishwa jukwaa la heart breaking....
maana naona watu wengi sana wanabreakiwa hearts zao humu humu
cc. Invisible

mtu anakwambia.....naendesha hummer....mtoto wa kichagga nikisikia hummer naanza kupiga mahesabu ya cc za gari then wese linalomezwa hapo.....kwa nini nisiingie king.....kupiga race moja tu ya hummer ni full tank ya vitz.....nina ujanja........njoo muone mtu mwenyewe sasa.....fuko si fuko.....kapuku si kapuku....basi sida tupu....khaaaa......naipenda JF jamani....ni chuo tosha........
 
Back
Top Bottom