Najihisi kuchanganyikiwa....

Najihisi kuchanganyikiwa....

Mmh pole sana ndio dunia hiyo mama mtu anaweza kusoma asielimike.

Pia ni chansi nzuri ya kujitangaza, wajasiriamali nafasi hiyo wazi
 
aisee ukiendelea hivyo wanaume watakutenda sana hadi umlaumu Mungu kukuumba mwanamke, uwe unaingia nusu kwanza then nusu nyingine utaimalizia vikao vya harusi vikianza

Hahahah JF kiboko!
Kwani vikao vya harus vikianza ndo uhakika wa ndoa?!
 
Kama mambo kibao unafanya nn hapa?Hebu usinitibue ww tayari nishachafukwa na akili tangia hapo!

Haha! Kweli akili imechafuliwa... pole aisee, ndo ukubwa huo (mimi natania tu ili upunguze machungu kidogo )
 
acha wendawazimu...we wa wap ndugu,utampendaje mtu usiye wahi hata kumuona kwa macho et aje kuwa mtarajiwa wako?kweli nimeamin mjin shule wewe umekuja na madaftari aisee!
 
Safi kabisa. Huo ni uamuzi mzuri wa kukata tamaa. Sasa achana nae, jichanganye. Kama hauna kifua muweke kwenye ignore list ili usione hata kivuli chake akajifilie mbali huko. Unaweza pm moderator ama invisible wakuongoze na ignore list.

Hongera umekua sasa!
Sawa dada kingasti nimekusikia!
 
Nimetokea kumpenda sanaaaa kaka mmoja hapa jamiiforums!

Kusema kweli tulikuwa marafiki mwanzo ila yeye akasema ametokea kuvutiwa na maongezi yetu na ananipenda and blah blah blah..nikawa nasita sana kwasababu najua niko mbali nae na mambo ya long distance ni matatizo (kama walivyosema wahenga fimbo ya mbali haiuwi nyoka) lakini kwasababu alisisitiza sana anahitaji kuwa na mm nikaona kwanini nisijaribu kumpa nafasi japo nilishaumziwa sana mwanzo..

Huyo mtu kwa maelezo yake ni mjane na ana watoto wawili...Mwanzoni kila kitu kilikuwa shwari maongezi saa zote..tukaplan mpaka kuonana..kusema kweli nilikuwa na matumaini sana na furaha nimeshapata mwenza...

Ikatokea ishu kwamba alikuwa na matatizo ya network ya sim kitu ambacho kinaeleweka mawasiliano yakaanza kuyumba ila net alikuwa nayo lakini hakuona kama njia ya mawasiliano...Sasa kinachoendelea ni kwamba tangia tarehe 4 mwezi huu kapotea...namuona watsapp na naona anapata ujumbe wangu lakini hanijibu..na pia nilimuona facebook minamo tar 6...lakini mimi mawasiliano nae sina kwasababu hapokei simu zangu,hajibu sms zangu na sijui pakumpata..na ameniblock watsapp leo hii coz nimeshafanya uchunguzi na nimegundua kwamba ameniblock! Nakaa nikijiuliza nimemkosea nini kustahiki kutendewa hivi sielewi!kama hawezi kuwa na mimi kwanini haniambii kwamba hanitaki?kama hana mawasiliano mbona namuona online?

Sikujua kama watu wengine wamenyimwa ustaarabu kiasi hiki! Sio siri nimempenda na kumuamini sana huyu mkaka lakini naona kaniachia donda kubwa sana moyoni mwangu maana hata sielewi nimuweke fungu gani najiona -------- nilopindukia kujirahisisha na kumuamini mtu nisomjua! Au sijui ni mimi ndio na overreact na kumfatilia sana?

Nisaidieni jamani nahisi kuchanganyikiwa si ndo wendawazim huu mungu wangu!

Duh...hayo sio mapenzi dada, UNAPENDA USIYEMJUA???? alafu yawezekana alikudanganya ye ni mjane ili akumege ki mbali mbali sasa kaona unasogea sana karibu na mkewe anaweza jua so kaghairi.
 
Unanichanganya Mkaka halafu ni Mjane ana watoto wawili?

Mapenzi yanautesa moyo wee - Belle9
 
He actually mentioned that i am the perfect match for him!:disapointed:

Ladies kwanini hamjifunzi haaa "words are nothing" !! I can Say I LOVE YOU SO MUCH ama You are the right choice for me.....bt I dont mean it (unafikiri asingesema hivyo ungempa moyo wako kirahisi, sasa kama you are the perfect match mbona kakuacha kwenye mataa)
 
He he he, unatafuta makubwa, tangu lini polisi ikataniana na shehe Ponda?

Haha! Kweli akili imechafuliwa... pole aisee, ndo ukubwa huo (mimi natania tu ili upunguze machungu kidogo )
 
Back
Top Bottom