CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Pole sana mdada.... Si na wewe umchunie? Limtu umekutana nalo ukubwani, limekomaa mpaka limeota manyoya na wala halina mchango / msaada wowote katika maisha yako. Humfahamu kiundani na wala akufahamu kwanini likutie Pressure....
Tupa kule, halikuweki mjini....
Sometime ukiuendekeza moyo utakuwa mtumwa dada...
Tupa kule, halikuweki mjini....
Sometime ukiuendekeza moyo utakuwa mtumwa dada...