Baba mtakatifu91
JF-Expert Member
- Apr 25, 2026
- 3,666
- 7,604
Ndiyo kakaSalary slip ya miezi mitatu
Ndiyo kakaSalary slip ya miezi mitatu
Unajua ukikaa ndan na makalatas unapiga mahesabu biashara na kuona mafaida mengi, ingia kwa vitendo SASA🤸🤸🤸Mkuu kama unakopa ili uanze kufanya biashara naogopa kwa niaba yako
Lakini yote kwa yote kila la heri
Kwani kuanzisha biashara kuna shida? Ni imani ya mtu tu binafsi ni kuwa seriouslyMkuu kama unakopa ili uanze kufanya biashara naogopa kwa niaba yako
Lakini yote kwa yote kila la heri
Hapo Sawa ILA chukua mkopo kidogo utakao uhimiliNnayo naiendeleza Mkuu
Naomba nikusaidie kuogopa kwa niaba yake.Mkuu kama unakopa ili uanze kufanya biashara naogopa kwa niaba yako
Lakini yote kwa yote kila la heri
Unajua ukikaa ndan na makalatas unapiga mahesabu biashara na kuona mafaida mengi, ingia kwa vitendo SASA🤸🤸🤸
AFU hela ya mkopo na kuna watu wakikuona umefungua biashara furan nap wanafungua kama yako utazani wametumwa ili kukukomesha ushindwe kulipa mkopo
OkayKwani kuanzisha biashara kuna shida? Ni imani ya mtu tu binafsi ni kuwa seriously
Naomba nikusaidie kuogopa kwa niaba yake.
Mkopo unatesa sana.
Sema wewe ni AskariNaitaji msaada wa haraka
Mimi ni mtumishi kutoka wizara ya mambo ya ndani,nina miaka 2 kazini, Mshahara wangu laki tano.
Nataka kukopa kuanzia million 20 je inawezekana , Kama aiwezekani nitapata bei gani.
Kwenye mfumo wa ESS inaleta pesa kidogo nataka niende Branch yao,Natumia CRDB Je vitu gani niende navyo ili kupata mkopo.
NAJUA HASARA YA MKOPO ILA NINA SHIDA NAITAJI MSAADA JINSI YA KUPATA PESA.
Ndiooo🧚🧑🔧🧑🔧Kabisa, hesabu za karatasi zinaweza kukufanya ujione tajiri ndani ya muda mchache ilaaa yajayo yanasikitisha
Raha ya mkopo wa biashara uone trend ya mauzo yako kwanza
Halafu ukiipata hiyo M20 utaona nyingi utatumia kwa pupa zitaisha.Kabisa unaweza kuona kila mtu adui yako muda wa marejesho
Mkuu biashara ninayo tangu nipo chuoMod ya biashara yako ikoje, unaisimamia mwenyewe, haihitaji usimamizi wa karibu, unaweza kusimamia remotely?
Naungana na wanaosema wanaogopa kwa niaba yako.
Mkuu naitaji experience yakoHalafu ukiipata hiyo M20 utaona nyingi utatumia kwa pupa zitaisha.
Mzigo unabaki kwenye marejesho 🙌
Mkuu nina experienceBIASHARA INALIPA UKIONA MWENZIO ANAFANYA, INGIA SASA WEWE UIFANYE
Kweli mkuuSio wote ambao wameajiriwa wizara ya mambo ya ndani ni maaskari wengine Wahasibu makarani etc wanatolewa kule ajira portal
Kwa nini umetaka mkopo mkubwa namna hiyo, mtaji wako kwa sasa ni kiasi gani?Mkuu biashara ninayo tangu nipo chuo