Nahitaji mawazo yenu ndugu zangu

Nahitaji mawazo yenu ndugu zangu

Naitaji msaada wa haraka

Mimi ni mtumishi kutoka wizara ya mambo ya ndani,nina miaka 2 kazini, Mshahara wangu laki tano.

Nataka kukopa kuanzia million 20 je inawezekana , Kama aiwezekani nitapata bei gani.

Kwenye mfumo wa ESS inaleta pesa kidogo nataka niende Branch yao,Natumia CRDB Je vitu gani niende navyo ili kupata mkopo.

NAJUA HASARA YA MKOPO ILA NINA SHIDA NAITAJI MSAADA JINSI YA KUPATA PESA.
Sorry hivi wafanyakazi wa wizara wanapokea pesa ndogo kiasi hiki? Laki 5 kwa Mwezi ni unskilled?
 
Naitaji msaada wa haraka

Mimi ni mtumishi kutoka wizara ya mambo ya ndani,nina miaka 2 kazini, Mshahara wangu laki tano.

Nataka kukopa kuanzia million 20 je inawezekana , Kama aiwezekani nitapata bei gani.

Kwenye mfumo wa ESS inaleta pesa kidogo nataka niende Branch yao,Natumia CRDB Je vitu gani niende navyo ili kupata mkopo.

NAJUA HASARA YA MKOPO ILA NINA SHIDA NAITAJI MSAADA JINSI YA KUPATA PESA.
Mkuu usiingie kwenye huu mtego wa wengi, tunaishi kwa maoni ya watu badala ya kuishi maisha yetu.
 
Back
Top Bottom