Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Wadau nahisi na naona kuwa Zakaria wangu ameongezeka sana .. Najua huu sio ugonjwa .. Siwezi kukimbiwa kweli hapa? Naogopa.
Lizy habari yako: hivi kwani msosi unasababisha wanenepe/kuonhezeka? SikujuaMwanzishie diet!!!
Definetlyjf is never boring .....
Lizy habari yako: hivi kwani msosi unasababisha wanenepe/kuonhezeka? Sikujua
Mmwagie diesel
Hii reason nimeikubali.yawezekana umekonda, kwahiyo relative size to the body especially when compared to your tummy imebadilika
Hahah..lolAu mfanyie resizing.make sure kisu ni kikali sana.
mpe hii zakaria na mpe hongera kwa kuongezeka katimiza miaka mingapi tena?Wadau nahisi na naona kuwa Zakaria wangu ameongezeka sana .. Najua huu sio ugonjwa .. Siwezi kukimbiwa kweli hapa? Naogopa.