de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 10,236
- 20,390
Wakuu naombeni mnisaidie hivi mtu unashindaje vita ndani ya nafsi?
Mimi Nahisi imenishinda? Kuna vitu vimetokea maishani na siwezi kuvisahau, Kuna watu wameniumiza na siwezi kusamehe, hasa hasa kujisamehe mwenyewe.
Naona wwngine wakipitia magumu Zaid yangu ila wanakuwa Sawa na maish yanaendelea, ila kwangu imekuwa tofauti, nimetunza vitu ndani yangu kwa miaka 20 na siwezi kuvi acha. Nimejaribu meditation, nimesali sana, nimejifungia ndani kukaa na silence ila wapi.
Wakuu nifanye nini, ladha ya maisha inapotea kila siku, natembea ila mimi ni mfu nayesubiri kuzikwa tu. Nafsi yangu imekosa mwanga na nuru.
Nimeleta hii Mada ili nipate kitu cha kuondoa Maumivu, huenda mtu akaonggea jambo likaniponya, au huenda mtu akaniambia maneno machafu ili tu niache kulia Lia. Yote kheri maana ninechoka kukaa na haya Maumivu.
Mimi Nahisi imenishinda? Kuna vitu vimetokea maishani na siwezi kuvisahau, Kuna watu wameniumiza na siwezi kusamehe, hasa hasa kujisamehe mwenyewe.
Naona wwngine wakipitia magumu Zaid yangu ila wanakuwa Sawa na maish yanaendelea, ila kwangu imekuwa tofauti, nimetunza vitu ndani yangu kwa miaka 20 na siwezi kuvi acha. Nimejaribu meditation, nimesali sana, nimejifungia ndani kukaa na silence ila wapi.
Wakuu nifanye nini, ladha ya maisha inapotea kila siku, natembea ila mimi ni mfu nayesubiri kuzikwa tu. Nafsi yangu imekosa mwanga na nuru.
Nimeleta hii Mada ili nipate kitu cha kuondoa Maumivu, huenda mtu akaonggea jambo likaniponya, au huenda mtu akaniambia maneno machafu ili tu niache kulia Lia. Yote kheri maana ninechoka kukaa na haya Maumivu.