Nahisi:::::::::::

Nahisi:::::::::::

Pole my dia!kama sio kawaida na unahisi ni tatizo jaribu kuonana na wataalamu kwa ushauri zaidi usije ukapata matatizo bure!!
 
Wadau nahisi na naona kuwa Zakaria wangu ameongezeka sana .. Najua huu sio ugonjwa .. Siwezi kukimbiwa kweli hapa? Naogopa.

nina uhakika sio ww utakua umemuandikia rafiki yako hii thread na haikuhusu ww koz as i know SI unapenda kubeba matatizo ya wenzako kama yako na kuyaanzishia thread...................sema tu ukweli sio ww ndio tujue tunamsaidiaje huyo rafiki yako au mwambie ani PM nimpeleke sehemu ikakatwe na wala haitaonesha kama imekatwa wala nn itakua tu mwake
 
Back
Top Bottom