chukuachako
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,260
- 870
Kuna alieanzisha uzi humu kusema kuwa KTMA wameanza kutaja kura zinaendaje na mwingine kuandika uongo kuwa Chibu anatoa hongo kushinda hawa naona sheria ndio itawatembelea soon.
Mifano ya watu wa hivi ndio kuanza kufundisha wananchi kuacha kutumia uongo na kutaka kushusha hadhi ya kampuni au waandaaji wa awards.
Usernames zao na na printscreen tayari yanawekwa sawa.
Na wengine waongo, ukitaka andika kitu basi rusha na source maana itakusaidia na ukidanganya basi unalo zaidi na zaidi.
Dalili za uoga washaona team mondi hawatetereki na kampeni zao.