Nahisi kuna campaign dhidi ya Daimond

Nahisi kuna campaign dhidi ya Daimond

Duh kuna watu kweli hamjielewi unakiri unamchukia Diamond at the same time unaniita mi nnachuki wakati sijawahi kusema namchukia ally kiba kama wewe ulivyokiri mwenyewe bila shuruti kwamba unamchukia diamond... Unajielewa kweli sister
acha uchawi weweee
yani mnataka mziki uendelee then mnataka asapotiwe mtu mmoja tu
mmxxxxiiuuuuuuu
sawa mi simkubali mondi ila akifanya zuri namuunga mkono mfano white party ya juzi mbona mi nilimsapoti
ila wewe una roho nyeusi km sumu vile
sijui ukoje yaani
kashasema hataki sapoti ya tunzo so how come watu wamsupport ..?
inaingia akilini kweli jamani...
si utakua unafki na kujipendekeza...
 
From lemutuzzz muzee wa lekopozz😁😁
"LE TAMKOZ THREE LIVE" mnyonge mnyongeni lakini haki yake TUMPE this woman is the best NATURAL SUPER STAR to ever been born in this Land WEMA SEPETU...ndiye the Only living NATURAL BORN SUPER STAR...FACTS:- 1. MOVIE alizocheza hazizidi 8 na hakuna iliyowahi kushinda anything serious so huwezi kusema ni Star kwa sababu ya Movie...2. MUZIKI haimbi muziki seriously kwamba utasema ni Mwanamuziki 3. A SUPER MODEL no that is not even an ishu cause she is not...COMPARISON Diamond Platznumz ni the best Musician Super Star but ni kwa sababu ya Muziki wake alioufanyia sana kazi...this woman niambie anafanya nini? But she is a big Star WHY? 1. HATA ukigombana naye tu you become a Star na hata ukiwa rafiki yake pia unaishia kuwa Star...tizama Instagram ni wale tu tunaoshambuliwa na wafuasi wake ndio Ma Star hapa!.... na wale walioko karibu naye hahahah...sitaki kutaja majina lakini wale wote Ma Star kutokana in One way or Another kujihusisha naye aidha kwa urafiki au ugomvi ndio mmeishia kuwa Ma Super Star...this Woman was born a natural Super Star hata kama humpendi kama binadam lakini TUKUBALI KWAMBA ANA NYOTA YA AJABU SANA...na huenda asije kupatikana MTanzania mwingine kama yeye miaka ya karibuni...ana mapungufu yake lakini hayajaondoa KUNG'AA KWA NYOTA yake the TRUTH HAS TO BE SAID NA LEO NINAUSEMA BILA TATIZO KWAMBA ninaheshimu sana kwamba SHE IS TRUE STAR...I CAN DEBATE AT ANYTIME NA ANYBODY ON EDUCATIVE LINES KUSIMAMIA MY POINT...WABONGO TUFIKE MAHALI TUACHANE NA USHABIKI WA YANGA NA SIMBA NA TUKUBALI UKWELI UNAPOKUWA UKWELI .SIANDIKI FOR ANYBODY AU KUMUOGOPA MTU AU WAJINGA WAJINGA NIMEANDIKA THE TRUTH..- le Mutuz
Je unasema kuhusu haya maelezo??👌
 
Kiba kaenda kwa mganga gani mwaka huu? Maana safari hii kawa tishio sana ila nasubiria kali ya mwaka video ya mwana iwe video bora.
 
Kama kukampeni angeaza na msanii wake Mirror anaemmeneji na kuinvest pesa yake. Zaidi ya hapo ni ushamba tu wa kutokubali matokeo ya kuachwa na Dangote.

Matumbo punguza ushabiki, sasa angeanza na Mirror kivipi kwani Mirror yupo kwenye category gani?
 
Mbona wewe unapost page huku ukionesha wazi wewe ni team mondi?! Kuhusu kiba kupigiwa kura nikutokana na hit single yake ya mwanadsm ilivyofanya vizuri kama Mwaka jana mondi alivyotoa hit single yake ya my no 1 ambayo ilipelekea kubeba tuzo saba na kuibuka na tuzo 3 katika Africa.
 
Matumbo punguza ushabiki, sasa angeanza na Mirror kivipi kwani Mirror yupo kwenye category gani?

Tunaambiwa Wema ata akikutukana unakuwa bonge ya staa. So angeanza na kumpigia kampeni Mirror hapo before leo hii mirror angekuwa kwenye category zote. Tunachoshangaa ameibukia kwa Kiba, haya mapenzi kwa Kiba ameyaanza lini! Mpaka akasahau anamsanii ambaye hatoki licha ya kuongozana na Wema.
 
Kama kukampeni angeaza na msanii wake Mirror anaemmeneji na kuinvest pesa yake. Zaidi ya hapo ni ushamba tu wa kutokubali matokeo ya kuachwa na Dangote.

Mirror yupo category ipi na ipi nimpigie kura fasta matumbo
 
Last edited by a moderator:
Sio nongwa ila tunamshangaa ALLY kwa kuwaacha WAJINGA FULANI kwa kutumia mgongo wake kwa ajili ya visasi vyao na sio kwamba wanampenda

Ahsante mkuu. Akili hii ktk hii post ma team wema hawawezi elewa.
Bravo.
 
ndio hivyo tena team wema wameamua kumbeba kijana wa watu msobe msobe, hahahahaaaa hii inaitwa unataka hutaki tunakupigia kampeini, na LENGO KUU ni kumkomesha diamond, sidhani kama kiba kaomba hii backup kubwa hivi. nae si ajabu anashangaa.

Ahsante mkuu, nimeipenda.
Bravo.
 
Akishinda video bora yatakuwa maajabu ya mwaka...

Kwa jinsi Wamemkera Diamond kuna hatihati kama atahudhuria tuzo hizo... Ukimuona Daimond amekubali kuja siku hiyo ya KTMA ujue anachukua nyingi, hawezi kuja kuabishwa kipumbavu kirahisirahisi

Sintomshauri pia Diamond aende kwenye huu umbea umbea .,
 
Nani mchagga? Au umekuwa sheikh Yahya nn sku hzi unatabiri hadi kabila la Anonymous

Sasa mkuu hakuna haja ya kulalamika kama mhusika mwenyewe (Diamond) kakataa kuomba kura hao kina Wema na Jokate wakisema wamuombee kura si utasema tena wanajipendekeza?
 
Sio nongwa ila tunamshangaa ALLY kwa kuwaacha WAJINGA FULANI kwa kutumia mgongo wake kwa ajili ya visasi vyao na sio kwamba wanampenda

daah hii ni noma kweli mshikaji wangu, Yaani kwa mfano wewe ndio ungekuwa Alikiba ungewazuia kukuombea kura kisa walikuwa ni EX wa Diamond? aaah humtendei haki Alikiba kabisaa, halafu hata ingetokea wanataka kubalance equation wangeanzaje kumuombea kura Diamond wakati yeye Mwenyewe kakataa kuomba kura

Halafu kama una kumbukumbu nzuri lile tamasha la Diamond Aforever ni Wema huyu huyu aliamka kwenda kumtunza Diamond jukwaani lakini Diamond akazikataa zile pesa sasa ulitaka tena Wema arudie makosa yale yale????
 
ila kweli nimeamini usishindane na aliyepewa aisee, najiuliza upinzani mkubwa anaoupata diamond toka kwa hizi team mbili kubwa( team wema na team kiba) na bado hajaonesha dalili ya kupepesuka, Mungu ni wa ajabu sana kwa kweli, watu wamefanya kila njia ili mradi tuu diamond afulie lakini wanaishia kupata aibu, sasa wameamua kuunganisha nguvu, ili tu kumuangusha diamond na bado mtapata aibu nawaambieni.

Ivan, wema, kidoti, timu kiba mwenyewe wote hawa wanam fight mtu mmoja! Yaani kama me nacheka hivi sijui Diamond huko alipo anachekaje! Wako huru kufanya chochote kile as long as hawavunji sheria. wanasema hivi Weak ones ndio wanao unite. Ila wasubiri TUTAKAVOWAAIBISHA siku hiyo.
 
Wema ni mzuri tatizo IQ yake ipo below minimum level. Ni hilo tu.

anaburuzwa tuu nae, madai yake anataka kuprove beyond any doupt kuwa yeye anauwezo wa kumfanya mtu apendwe au angae na ana uwezo wa kumfanya mtu yeyote achukiwe au afifie, so lengo kuu la hii compeni yake ni kutaka kumuonesha diamond kuwa mwaka jana ulichukua tuzo 7 kwa sababu yangu, na mwaka huu hutapata tena kwa sababu haupo na mimi, badala yake nimeamua kumpa kiba, sasa sijui huyu wema kashajiona Mungu mtu????
 
hebu acheni unafki wenu hapa nyie
hv zari white party mbona amesapotiwa sana mpk hapa jf ht kwa sie tusiomkubali huyo msanii
nyie watu ni wabinafsi sana tena sana mnataka asapotiwe yy tuuu
yy tuuu who the hell is he...
kwank wema kumsapoti aly k una ubaya?

mbona aunty alimsapoti daimond nyie vipi

hebu muacheni wema wa watu
mbona jokate hamsemii

wema hana jema ht mojaaa...

mnataka wema amsapoti mondi ili aonekane anajipendekez au
hv mngekua nyinyi ndo wema au jokate mngewezaaa...
wanafki nyie wakubwa hamna lolote roho mbaya inawasumbua

wakaanga sumu nyie

hebu kwendegeni hukoo
vichefu chefu wakubwaaa
ptuuuuuuuuuuuuuu........
 
Back
Top Bottom