Nahisi kuna campaign dhidi ya Daimond

Nahisi kuna campaign dhidi ya Daimond

Pumba.com

Natumaini umejifurahia kuandika haya jipe pongezi.

Kama we ulivyofurahia kuandika ya kwako, jipongeze pia hehehehehehehhe😀😀😀😀😀😀😗😗😀😀
 
:becky: Kavurugwa kweli, amekuja na mispidi yake anachanganya habari. Akajambe kule.

Timu mondi ndo mmevurugwa hahahahahaha na bado jamani tunasubiri part 2 kule insta inatoka lini? Mlitaka watu wakae kimya??? Hapa mpaka kieweke ama nene
 
Nimekupenda buree, well said. Wema alimuacha Diamond, na sio Diamond ndio alimuacha Wema. Diamond kapata mwanamke mwingine imekua kosa, kwani hiyo dudu ya Diamond ilizaliwa for Wema tu? Ndio iwe fundisho kwa wanawake wote na wanaume pia, ukipendwa tulia, sio kuendekeza pesa za mapedeshee na mashuga mami halafu unamtingishia kiberiti mtu anaekupenda kwa dhati, huwa wanachoka. Ukimbwaga ukifikiri atakulilia na kukubembeleza, kumbe mwenzio ndio una mthibitishia kwamba huna mapenzi ya dhati kwake.
Kama nilivyosema in my previous posts, team kiba na team wema, mtukaneni Diamond weeeee mpaka mchoke, but it wont change what he was born with i.e his talent,creativity, voice, dudu na kupetipeti :becky:

Same goes to ur team bebe, tukaneni weeeeee si tunasonga mbele ama nene, mpaka muache twaarabu, tuzo mwaka huu mtaziona kwenye mawingu tu hahahahah! Mpaka nyodo ziishe
 
Wabongo ndo zao kusifia vya nje, vyao wakivilaani na kuvidhihaki, ila wengi ni stress tu, kama ni ukahaba zari kamzidi wema maana yeye east africa yote katembeza.

waliodate na zari ni invisible japokuwa hawaonekani ila ni wengi kuliko mtu mwenyew wema wanaonekana na ndo maana wanamsakizia umalaya
 
Licha ya kwamba kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake ila it is not a coincidence ma ex wote wa Mwanamuziki Diamond Platnumz wanafanya campaign za kushawishi watu wampigie kura ally kiba...si kwa vile ni mashabiki wa ally kiba ila ni Figisu Figusu tuu na chuki za mafanikio ya Daimond

Alianza Wema, akaja Jokate na list itaendelea mpaka tukio la utolewaji wa Tuzo hizo... Vitu hivi vyote vinatokea sio kwa bahati mbaya ila watu hao kwa kujua Ally hana uwezo wa kushinda tuzo mbele ya Daimond baasi wameamua kwa makusudi kumfanyia campaign ally ili wafanye revenge ...

Ila uzuri mmoja Mondi bin laden amewaambia kuwa yeye sio size yao..... Atawapelepweta bure

View attachment 251087View attachment 251088


Huyo anaejiita dimond hana uwezo na hana jipya
 
kwani kuna tatizo kwa wao kumpigia kampeni Ali?
Na wakati ule wanampigia kampeni Diamond mbona ukuja kulalamika hapa?!
 
Kwani zoezi la kuandikisha wapiga kura limeshafanyika
 
Back
Top Bottom