hebu acheni unafki wenu hapa nyie
hv zari white party mbona amesapotiwa sana mpk hapa jf ht kwa sie tusiomkubali huyo msanii
nyie watu ni wabinafsi sana tena sana mnataka asapotiwe yy tuuu
yy tuuu who the hell is he...
kwank wema kumsapoti aly k una ubaya?
mbona aunty alimsapoti daimond nyie vipi
hebu muacheni wema wa watu
mbona jokate hamsemii
wema hana jema ht mojaaa...
mnataka wema amsapoti mondi ili aonekane anajipendekez au
hv mngekua nyinyi ndo wema au jokate mngewezaaa...
wanafki nyie wakubwa hamna lolote roho mbaya inawasumbua
wakaanga sumu nyie
hebu kwendegeni hukoo
vichefu chefu wakubwaaa
ptuuuuuuuuuuuuuu........
wanakera sana hawa sijui washabiki sijui wafuasi wa huyo daimondOooooowwww asantee asanteeeeeeee.........
Umewapa breakfast daaahhhh
Wapi team domo.....breakfast ya bure hiiiii lazma mnywe mwaka huuu
wanakera sana hawa sijui washabiki sijui wafuasi wa huyo daimond
kwanza wanafki wanataka kila mtu ampende au kila mtu amkubali kitu ambacho watasubiri sana hakitokuepo kamweeee
kwenye white party hunu wengi tulimsapoti ht sie tusiomkubali
leo usitegemee mie nimpigie kura dai ninuache kibaa au rich mavoko...wazimu huo labda au nmerogwa na mganga kafa...
wema kwao hana akili,hajielewi,malaya yy
kila sifa mbaya anayo wema..
sawa ana mapungufu yake wema km wema ila kwenu nyie huko hamna weakness ht mojaaaa....
muacheni wema she is human being like others stop being too much negativity to her jamani
nimegundua nyie so called wafuasi wa daimond ni wanafki na mna roho mbaya sana nyie
na huyo sijui msanii wenu mnafki tu
ndo maan hamna ht msanii mmoja aliyemuunga mkono
last year alikua wapi kuongea yote haya aliyoyongea
na nimegundua kwanza ni mtu asiyependa challenges ht kidogo
wana roho mbaya sana hawa mazezeta yake
mmmmmxxxxiiiiuuuuuuuuuuuu zao wote wanaompinda wema
Yaani unanikoshaje dear......wanamponda wema wana nini cha ziada? Shida zimewaganda kama ukoko....eti malaya.. hahahahaaaaaa wenyewe wanajiuza kwa mia tano tano kila siku wamefanywa mbele nyuma wengine adi midomoni... ama kweli nyani haoni ku.nd.ule.
Afu kwan wema akimpigia promo kiba kina wakuna nini was.h.enz kweli...
Hawajui kila mtu na uhuru wake wa kufanya chochote....
Alafu wanajikuja wanamwona domo ni Mungu sijui.. ni wanafiki na waswahili kama bosi wao tehe teheeeeeeeeee
Akiwakera kakaliani ndoo mjambie afu mnuseee
Kiba kiboko yenu eeeeee
Apo ni mwanzo tuuuuuuuuu
wanafki tu hawa leo ndo aione ktma haifai sijui nn
na kura tutapiga vizuri mpk kieleweke
hawa wanamuonaje sijui wema
si zari amsapoti bwana ake sasa
wabinafsi sana hawa watu
na kingine hiyo ni defence mechanisms hana lolote
acha anaehtaji sapoti asapotiwe
huyo asietaka endeleeni kujipendekeza
tena ngoja nikampigie kura wema mie kwenye tuzo za watu
Yaan mimi kiba na Wema nishawapigia mpaka vidole vinauma....kiba atachukua tuzo na pia Wema atachukua tuzo....Mwaka wao huuu.
Wanamdharau Wema wanaona mtakatifu huyo Zari tehetehee bonge la sugar mumy.... geniveros kama una kaka yako ambaye ana shida ya kuzaliwa mtoto mwambie kuna mama huruma kutoka UG anagawa kama hana akili nzuri....hahahaahaaa eti wifi wa taifa....kwa lipi mtu kashapita juu ya madushe mia kabla ata mond hajazaliwa na bado kaendelea kuzikalia mpaka leo heheheeee wanavyomkweza utazani kabint kadogo kumbe libibiii.
Wanaloooo
nalichukiaje hilo kahaba??? wanamsema zari bibi, zao zenyewe zimekomaa utasema gamba la kobe, aweza kuwa bibi lakini yake ina mvuto na laini kama sufi! team michirizi mpoooooo???mmh watu mnaangaika huyo wema mwenyew ana nafasi gani kwenye maisha yenu fanyeni yenu jamani
nalichukiaje hilo kahaba??? wanamsema zari bibi, zao zenyewe zimekomaa utasema gamba la kobe, aweza kuwa bibi lakini yake ina mvuto na laini kama sufi! team michirizi mpoooooo???
tatizo watu wana mcho lakini hawawezi ona, yaani hilo kahaba limezeeka kuliko mimi! mmmmxxxxiiiiiiieeewwwww, DIAMOND ALIFANYA LA MAANA SANA KUSONGA MBELE, bora mbibi anayekielewa mara mia, kuliko kijana kahaba hana future kama huyo kahaba!Afu cha ajabu sasa huyo bibi mzuri kuliko huyo Msichana, na hapo huyo Msichana najaza hata mtoto mmoja kakongoroka vile. Yaani unaweza kusema vice versa bibi ndio Msichana na Msichana ndio bibi.
tatizo watu wana mcho lakini hawawezi ona, yaani hilo kahaba limezeeka kuliko mimi! mmmmxxxxiiiiiiieeewwwww, DIAMOND ALIFANYA LA MAANA SANA KUSONGA MBELE, bora mbibi anayekielewa mara mia, kuliko kijana kahaba hana future kama huyo kahaba!
na tutawapwelepweta kwelikweli ohooooo... Kwa miaka mitano kwenye game, mezani tunazo tuzo 15 za KTMA waache wastaafu wajiliwaze kwa pamoja maana dangote anawaotesha majipu kwelikweli... sema tu mi namuoneaga huruma kibakuli, tar 29/11 mwaka jana dangote anapopata tuzo tatu kwa mpigo jamaa ndio alikuwa anasheherekea bday yake chumbani kwa maumivu makaaaali saaana,, imekuja may 2 mwaka huu dangote anaingiza mamilioni kwenye party ya karne yeye amevamiwa daaaah....,
Sio 6 ni 7Domo kapanick tu,mwaka jana kachukua Sita zile akulalama now anajifanya anawaka
hebu acheni unafki wenu hapa nyie
hv zari white party mbona amesapotiwa sana mpk hapa jf ht kwa sie tusiomkubali huyo msanii
nyie watu ni wabinafsi sana tena sana mnataka asapotiwe yy tuuu
yy tuuu who the hell is he...
kwank wema kumsapoti aly k una ubaya?
mbona aunty alimsapoti daimond nyie vipi
hebu muacheni wema wa watu
mbona jokate hamsemii
wema hana jema ht mojaaa...
mnataka wema amsapoti mondi ili aonekane anajipendekez au
hv mngekua nyinyi ndo wema au jokate mngewezaaa...
wanafki nyie wakubwa hamna lolote roho mbaya inawasumbua
wakaanga sumu nyie
hebu kwendegeni hukoo
vichefu chefu wakubwaaa
ptuuuuuuuuuuuuuu........
Eti wanataka hata ile video ya mwana aliyoimba chooni sijui bafuni ndio iwe video bora