Nahisi kuna campaign dhidi ya Daimond

Nahisi kuna campaign dhidi ya Daimond

Team Wema na team kiba matusi ya nini.. Fanyeni kampeni zenu huku mkijiamini mwisho wa siku raia wataamua.
 
Mwambie wema nae aache kujipendekeza kwa diamond kumtumia tumia vi text msgs na kumtaja kila sekunde kwenye show yake. Oh... Na kutokasirikia marafiki kisa wamemsapoti diamond. Akubali matokeo au Ale shubiri itampunguzia machungu ya kumtamani tena diamond na hatamrudia ng'oooo!

na nyie muache kumuandama mtoto wa mwanamke mwenzenu
sina muda wa kumuambia hvyo wema maana mapenzi yao sikuepo walivyotongazana wala walivyoachana
na sijui wema anampenda kias gani huyo daimond mda upo ipo siku atamtoa moyoni
wema si wa kwanza na wala si wa mwisho kujipendekeza kwa mwanaume
au kwa kua sisi ni maanonimas...?
masuala ya mapenzi yanachanganya na yanaumiza pia
u never know ht sisi humu wapo victims pia
we jus cant pretend that we ar too happy with our rltns out there..
and start attacking wema day by day


nnawaambia nyie wanafki washanshuda muache hizo mambo na mumuache wema pia amsapot yyte anaefeel kumsapoti

humu wenyewe ukute kuna watu humu mabingwa wa kujipendekeza kwa ma ex zenu

mxiiiiiiuuuuuuuuuuuuuuuuiuuui
 
Hivi nyinyi ambao mmeunganisha team (Wema + Kiba) na kutengeneza team moja, siku ikitokea Wema na Diamond warudiane mtakua team gani? Au ndo bendera fuata upepo?
 
Nimependa uliyoyashusha

Asante ndugu yangu, maana naona Diamond wa watu ananangwa kwa ajili ya upuuzi. Mange Kimambi alivyomvalia njuga kijana wa watu utafikiri alikua anamjua enzi anauza mitumba. Wamuache Diamond wa watu. Nampenda Ali Kiba pia yeye ni msanii mzuri ila na yeye afanye kazi tuone ubunifu wake na yeye apande juu kama mwenzie. Chuki za nini?
Akina Davido na PSquare hata wao sio wajinga wanataka kufanya collabo na msanii ambaye kazi zake pia zina vutia. Number One was a hit on its own and when the remix with Davido came out it was a super hit.
Sioni uhusiano kati ya ushabiki wa team wema na team kiba na success ya Diamond. Diamond anapendwa kwa kazi zake nzuri full stop.
 
Diamond platnumz aka Chibu
 

Attachments

  • 1431616699902.jpg
    1431616699902.jpg
    74.4 KB · Views: 179
Aiseee!!best sikupata muda wa kuingia humu ndani siku tatu hizi nilikuwa busy kinyama!!!Umesimamia show mpaka kimeeleweka!!safi sana mtu wangu!!

Hello best thanks, pamoja pamoja
 
Kuna alieanzisha uzi humu kusema kuwa KTMA wameanza kutaja kura zinaendaje na mwingine kuandika uongo kuwa Chibu anatoa hongo kushinda hawa naona sheria ndio itawatembelea soon.

Mifano ya watu wa hivi ndio kuanza kufundisha wananchi kuacha kutumia uongo na kutaka kushusha hadhi ya kampuni au waandaaji wa awards.

Usernames zao na na printscreen tayari yanawekwa sawa.

Na wengine waongo, ukitaka andika kitu basi rusha na source maana itakusaidia na ukidanganya basi unalo zaidi na zaidi.
 
na nyie muache kumuandama mtoto wa mwanamke mwenzenu
sina muda wa kumuambia hvyo wema maana mapenzi yao sikuepo walivyotongazana wala walivyoachana
na sijui wema anampenda kias gani huyo daimond mda upo ipo siku atamtoa moyoni
wema si wa kwanza na wala si wa mwisho kujipendekeza kwa mwanaume
au kwa kua sisi ni maanonimas...?
masuala ya mapenzi yanachanganya na yanaumiza pia
u never know ht sisi humu wapo victims pia
we jus cant pretend that we ar too happy with our rltns out there..
and start attacking wema day by day


nnawaambia nyie wanafki washanshuda muache hizo mambo na mumuache wema pia amsapot yyte anaefeel kumsapoti

humu wenyewe ukute kuna watu humu mabingwa wa kujipendekeza kwa ma ex zenu

mxiiiiiiuuuuuuuuuuuuuuuuiuuui


Geniveros diamond mlimuona poa sana alipokuwa na wema,. Kwani diamond hatukanwi na team wema? Je wanatumia majina yao au anonymous? Mkuki mtamunkwa nguruwe sio,?
Wema kamtosa mwenyewe aache kujipendekeza maana mna act kama diamond ni super criminal baada ya kuachana na wema. Naamini angekuwa na wema hadi leo msingekuwa mnaropoka ropoka ovyo na kumtukana huyo kijana. After all wote waislam, si wanaruhusu jino kwa jino? Jamaa atukanwe, akirudisha ni kosa kwani yeye ana moyo wa vyuma? Pelekeni ujinga wenu huko kijitonyama kwa vimbwa vya boss wenu,
Kama alimtosa jamaa mwenyewe anahangaika nini tena? Jamaa kazuia kila upande anamwita ana iq ndogo, bora mwenye iq ndogo anaekuwa real kuliko anaejiona mwema but fake from head to heart.
 
Geniveros diamond mlimuona poa sana alipokuwa na wema,. Kwani diamond hatukanwi na team wema? Wema kamtosa mwenyewe aache kujipendekeza maana mna act kama diamond ni super criminal baada ya kuachana na wema. Naamini angekuwa na wema hadi leo msingekuwa mnaropoka ropoka ovyo na kumtukana huyo kijana.
Kama alimtosa jamaa mwenyewe anahangaika nini tena? Jamaa kazuia kila upande anamwita ana iq ndogo, bora mwenye iq ndogo anaekuwa real kuliko anaejiona mwema but fake from head to heart.

mi binafsi wala sipingi maamuzi ya dai kua na zari
na ukisoma comments zangu nyingi minamkubali zari sana
mi nnachopinga ni kumtukana wema kisa kamsuport aly kiba
kwa kweli hapo ndo nimekwazika maana ni vtu ambavyo vipo
siku zote adui yako unamuombea njaa
muacheni wema amsapoti anayemtaka yy jamani
 
mi binafsi wala sipingi maamuzi ya dai kua na zari
na ukisoma comments zangu nyingi minamkubali zari sana
mi nnachopinga ni kumtukana wema kisa kamsuport aly kiba
kwa kweli hapo ndo nimekwazika maana ni vtu ambavyo vipo
siku zote adui yako unamuombea njaa
muacheni wema amsapoti anayemtaka yy jamani

Swali nikuulize, kama wema anatakiwa awe huru kumsapoti anaetaka, mbona marafiki zake hawako huru kumsapoti diamond? Refer kesi yake na aunty ezekiel.
 
Swali nikuulize, kama wema anatakiwa awe huru kumsapoti anaetaka, mbona marafiki zake hawako huru kumsapoti diamond? Refer kesi yake na aunty ezekiel.
kuna mtu kamtukana anty kwa hilo suala?
 
Back
Top Bottom