Nahisi kuna campaign dhidi ya Daimond

Nahisi kuna campaign dhidi ya Daimond

Swali nikuulize, kama wema anatakiwa awe huru kumsapoti anaetaka, mbona marafiki zake hawako huru kumsapoti diamond? Refer kesi yake na aunty ezekiel.

Kesi iliyofunguliwa na shigongo hahah kweli we greAt thinker! Kesi mnaanzisha nyie na kuhukumu nyie, mtoto wa watu anaweka mabango ya kiba tu!
 
Katunzi wa wapi picha ile ya wiki kama 48 zilizopita basi ka mimba inakaa muda wote huu haya subirieni tu ni uamuzi wenu.

Ila watu mnavyoongelea waume za watu siku ikija nyie kuongelewa kama mke au mume mtajisikiaje.

Mbona wa TZ wengi hamna heshima na kuheshimiana? Ungekuta ni sibling wako mngepalalia udaku kiasi hiki.

Mnasikitisha kisa ni chuki....haya kuleni bata na kukosa usingizi kisa Diamond.

Nyani haoni kundule mbona nyie na mfalme domo kutwa kucha kumtukana wema? Angekuwa sibling wako ingekuwaje? Asiyeheshimu mume wa mtu ni nani kati ya hawa! Yule anayetoka uganda kuja kulala na mme wa mtu? Au anayemtukana mume wa mtu kwa kusaliti ndoa yake' tulieni jamani tulieni msipanick kama mfalme
 
Kesi iliyofunguliwa na shigongo hahah kweli we greAt thinker! Kesi mnaanzisha nyie na kuhukumu nyie, mtoto wa watu anaweka mabango ya kiba tu!

umeona eeeeehhhhhh
kula gwala kosa la wema kuposti kiba
 
Huyo anaeblogia anampenda kajaa wivu nae, kaa sio basi angekuwa anamsifia anapostahili. yeye hapendi kuona wengine wanapaa anajipiga kichwa na stress za maisha ya watu kuwaandika uongo asilimia kubwa akidhani anawashusha kumbe bonge la promo za bure. kashazoeleka

Acha uongo we binti blogger always anabalance stor zake na anakubali baadhi ya kazi za diamond. Tatizo timu maandazi mnataka domo asifiwe kwa kila kitu.
 
Katunzi wa wapi picha ile ya wiki kama 48 zilizopita basi ka mimba inakaa muda wote huu haya subirieni tu ni uamuzi wenu.

Ila watu mnavyoongelea waume za watu siku ikija nyie kuongelewa kama mke au mume mtajisikiaje.

Mbona wa TZ wengi hamna heshima na kuheshimiana? Ungekuta ni sibling wako mngepalalia udaku kiasi hiki.

Mnasikitisha kisa ni chuki....haya kuleni bata na kukosa usingizi kisa Diamond.

Mbona wew Wema unamsema sana vibaya? Au huyo sio mtu? Nyoooo unaona huyo domo na dada poa ndo hawapaswi kusemwa? Na bado maana unaumia roho sana domo na li suger mumy lake kuambiwa ukweli... jiandae kujichoma ganzi.
Habar ndo hiyo
 
Nyani haoni kundule mbona nyie na mfalme domo kutwa kucha kumtukana wema? Angekuwa sibling wako ingekuwaje? Asiyeheshimu mume wa mtu ni nani kati ya hawa! Yule anayetoka uganda kuja kulala na mme wa mtu? Au anayemtukana mume wa mtu kwa kusaliti ndoa yake' tulieni jamani tulieni msipanick kama mfalme

shame on you kuandika re kundule...so kila anayempenda Diamond na Zari ni timu basi tena, fahamu wengine tunasimama wenyewe kwa uamuzi wetu na tunafurahia tukiona wanaongelewa...wakidisiwa uongo na bila facts tunashusha. Sasa kama mie niliye fan wa Zari miaka mingi unaniambia mambo ya timu iweje?

Wengi nyie ndio mnataka kuharibu nakutopaisha wanamuziki kisa ujinga wa maneno bila kufikiria inawaharibia nini, kuwakimbizia nini, kisaikolojia inawafanyaje pia wenyewe?

kama mie naishi na my music collection ya wanamuziki niwapendao hata ninaopenda labda mwimbo 1 tu, kama nina fav wangu ni uamuzi wangu, kama napenda mziki huu silazimishiki kupenda mwingine. mfano tunasikiliziaga LSG kama wa LSG kwa maendeleo na maisha yao kujulikana kisolo pia hao unazani wangekuwa wapi kama ingekuwa TZ na tabia hii mbovu iliyoingia wengi?

hakuna point ya maana ___mtu anayeweza kuongelea kwenye tv mme wa mtu ni big no heshima na no kujiheshimu kabisaaaaa.

Pia na kumsema kutungia inatia aibu kutaka kuchafua watu na maneno na kusingizia basi mimba ina wiki 48 kama vile hamumuongelei mme wa mtu, furahisheni roho zenu kutwa kuota kutu.

heshimuni ndoa za watu sio mnataja majina ya wanaume/wanawake ovyo, bila kusahau couples hata kama hazijafunga ndoa pia...yakiwakuta mtasikiliziwa.


 
shame on you kuandika re kundule...so kila anayempenda Diamond na Zari ni timu basi tena, fahamu wengine tunasimama wenyewe kwa uamuzi wetu na tunafurahia tukiona wanaongelewa...wakidisiwa uongo na bila facts tunashusha. Sasa kama mie niliye fan wa Zari miaka mingi unaniambia mambo ya timu iweje?

Wengi nyie ndio mnataka kuharibu nakutopaisha wanamuziki kisa ujinga wa maneno bila kufikiria inawaharibia nini, kuwakimbizia nini, kisaikolojia inawafanyaje pia wenyewe?

kama mie naishi na my music collection ya wanamuziki niwapendao hata ninaopenda labda mwimbo 1 tu, kama nina fav wangu ni uamuzi wangu, kama napenda mziki huu silazimishiki kupenda mwingine. mfano tunasikiliziaga LSG kama wa LSG kwa maendeleo na maisha yao kujulikana kisolo pia hao unazani wangekuwa wapi kama ingekuwa TZ na tabia hii mbovu iliyoingia wengi?

hakuna point ya maana ___mtu anayeweza kuongelea kwenye tv mme wa mtu ni big no heshima na no kujiheshimu kabisaaaaa.

Pia na kumsema kutungia inatia aibu kutaka kuchafua watu na maneno na kusingizia basi mimba ina wiki 48 kama vile hamumuongelei mme wa mtu, furahisheni roho zenu kutwa kuota kutu.

heshimuni ndoa za watu sio mnataja majina ya wanaume/wanawake ovyo, bila kusahau couples hata kama hazijafunga ndoa pia...yakiwakuta mtasikiliziwa.



Toa kibanzi kwenye jicho lako kabla ya boriti kwenye jicho la mwenzio, eti mtu anayeongelea mume wa mtu kwenye tv no kumuheshimu, sasa huyo anatofauti gani na mtu anayejipiga picha akiwa anakiss na mume wa mtu hadharani? Rejea picha ya bibi bomba na mzamili na nyinginezo, bila kuacha ile video akijipiga madole. Tatizo timu mondi mnajifanya mko clean sana kumbe ni wachafuzi zaidi ya huyo wema mnayamsema, na sie bibie tunasimama tukiona mnatukana mtu kwa tabia fulani ambayo hata huyo mnayemkumbatia anayo. Anyway mwambie mondi tunasubiri part 2, ya kudiss KTMA mana alisema ataitupia, au kaona upepo umeeda kusi! Hahhaahahhaahhaah
 
Timu mondi mkiongozwa na Mfalme wenu mlianza kupaniki baada ya kuona mabango ya kiba! Mkaanza kelele, asiyejiamini hapo??? Sisi ndo raia na kiba ndo anapigiwa kura. Mwambie mondi tunasubir part 2

Ally k hata akibandikwa mabango yake kila sehemu... Tulichomaindi hakihusiani na kiba wenu
 
Geniveros diamond mlimuona poa sana alipokuwa na wema,. Kwani diamond hatukanwi na team wema? Je wanatumia majina yao au anonymous? Mkuki mtamunkwa nguruwe sio,?
Wema kamtosa mwenyewe aache kujipendekeza maana mna act kama diamond ni super criminal baada ya kuachana na wema. Naamini angekuwa na wema hadi leo msingekuwa mnaropoka ropoka ovyo na kumtukana huyo kijana. After all wote waislam, si wanaruhusu jino kwa jino? Jamaa atukanwe, akirudisha ni kosa kwani yeye ana moyo wa vyuma? Pelekeni ujinga wenu huko kijitonyama kwa vimbwa vya boss wenu,
Kama alimtosa jamaa mwenyewe anahangaika nini tena? Jamaa kazuia kila upande anamwita ana iq ndogo, bora mwenye iq ndogo anaekuwa real kuliko anaejiona mwema but fake from head to heart.

Nimekupenda buree, well said. Wema alimuacha Diamond, na sio Diamond ndio alimuacha Wema. Diamond kapata mwanamke mwingine imekua kosa, kwani hiyo dudu ya Diamond ilizaliwa for Wema tu? Ndio iwe fundisho kwa wanawake wote na wanaume pia, ukipendwa tulia, sio kuendekeza pesa za mapedeshee na mashuga mami halafu unamtingishia kiberiti mtu anaekupenda kwa dhati, huwa wanachoka. Ukimbwaga ukifikiri atakulilia na kukubembeleza, kumbe mwenzio ndio una mthibitishia kwamba huna mapenzi ya dhati kwake.
Kama nilivyosema in my previous posts, team kiba na team wema, mtukaneni Diamond weeeee mpaka mchoke, but it wont change what he was born with i.e his talent,creativity, voice, dudu na kupetipeti :becky:
 
we nawe naona umevurugwa, tutolee shombo hapa za huyo mtu wenu, eti chekecha! kwani tupo mashineni hapa???? mtasubiri sanaaaaa kufikia level ya CHIBU!

:becky: Kavurugwa kweli, amekuja na mispidi yake anachanganya habari. Akajambe kule.
 
Toa kibanzi kwenye jicho lako kabla ya boriti kwenye jicho la mwenzio, eti mtu anayeongelea mume wa mtu kwenye tv no kumuheshimu, sasa huyo anatofauti gani na mtu anayejipiga picha akiwa anakiss na mume wa mtu hadharani? Rejea picha ya bibi bomba na mzamili na nyinginezo, bila kuacha ile video akijipiga madole. Tatizo timu mondi mnajifanya mko clean sana kumbe ni wachafuzi zaidi ya huyo wema mnayamsema, na sie bibie tunasimama tukiona mnatukana mtu kwa tabia fulani ambayo hata huyo mnayemkumbatia anayo. Anyway mwambie mondi tunasubiri part 2, ya kudiss KTMA mana alisema ataitupia, au kaona upepo umeeda kusi! Hahhaahahhaahhaah

Pumba.com

Natumaini umejifurahia kuandika haya jipe pongezi.
 
we nawe naona umevurugwa, tutolee shombo hapa za huyo mtu wenu, eti chekecha! kwani tupo mashineni hapa???? mtasubiri sanaaaaa kufikia level ya CHIBU!

Hahhahaha ndo hicho mnachokijua, matusi katika ubora wake! 2015 a walk to remember sweetheart
 
Back
Top Bottom