Eti wanataka hata ile video ya mwana aliyoimba chooni sijui bafuni ndio iwe video bora
Kweli dunia duara, yani leo hii Kiba kawa tishio kwa msanii wa kimataifa aliyebeba tuzo 3 chane0?
Kama hivi nina kila sababu ya kuamini kuwa Kiba karudi rasmi, maana mwaka jana sijaona wimbo mkali wa kufunika Mwana, labda mwaka juzi ile number 1 ya Tajiri Dangote ingeweza kufunika hii mwana.
ahahaa tena kobe mwenyewe kilema halafu mzee!!Diamond ni mwanaume aliyejipanga kwa kila hali!
Na ile ya domo aliyoimbia na wacheza vigodoro je!!
Nyimbo kama Nitajuta na Niseme zinastahili kuchukua hiyo Tuzo...
Ila kamwe Dai hawezi kunyimwa usingizi na Ally... tatizo ally na team yake wanatumia nguvu kubwa sana kumwangusha wakitegemea watapanda
Kweli dunia duara, yani leo hii Kiba kawa tishio kwa msanii wa kimataifa aliyebeba tuzo 3 chane0?
Kama hivi nina kila sababu ya kuamini kuwa Kiba karudi rasmi, maana mwaka jana sijaona wimbo mkali wa kufunika Mwana, labda mwaka juzi ile number 1 ya Tajiri Dangote ingeweza kufunika hii mwana.
Yaani Wema na Jokate kumuombea kura Alikiba imekuwa Nongwa yaani mlitegemea Wema na Jokate wamuombee kura Diamond wakati Diamond mwenyewe kakataa kuomba kura? Kama Diamond mwenyewe kakataa kujiombea kura basi akijitokeza mtu wa kunuombea kura atakuwa ni mjiinga wa kutupwa
mkuu wewe si huna timu umeshasahau juzi jumapili ulisema haupo timu kiba wala mond. Mbona povu linakutoka hapa?
Punguza unafki na wala kua na timu sio dhambi, uwe unaweka akiba ya maneno.
Aisee mbona mi naona ni kama aibu na fedheha kwa Kibba kuwaacha waendelee kufanya wanachofanya kwa sababu tu wanataka kulipa kisasi kwa kutumia jina lake narudia tena NI AIBU NA NI FEDHEA KWA KIBBA NA WANAOJIITA TEAM YAKE KUKUBALI KUTUMIKA KAMA SILAHA M-BADALA YAO
Sasa kama amewekwa kwenye category ili apigiwe kura si anaomba kura zake?ubaya uko wapi?nipe uhusiano wa kampeni anayopigigiwa kiba na kushuka kwa diamond platnumz...diamond is not bigger than the Tanzania music industry, kila anachotaka yeye basi kiamuliwe hivyo, yan anataka wasanii anaowataka yeye ndio wawekwe kwenye wengine hapana, ye nani??kila mtu ana mapenzi tofauti na music na aina ya msanii anaempenda, acha ushabiki