Nahisi binti yangu kaanza “kudukuliwa”

Nahisi binti yangu kaanza “kudukuliwa”

Nikimuuliza kitu anaweza akanijibu kama vile yupo na boyfriend wake. Mama yake nikimuuliza kulikoni anasema nae hajui lolote anashangaa amebadilika gafla.

Nadhani huyu binti ameshaanza kudukuliwa na wajanja.
kama haupo karibu naye kama mzazi basi tegemea wapo waliomuwahi na wanakusaidia kumpevusha.

Jiandae kuvimbamishipa ya shingo atakapokuletea ujauzito home
 
Nikimuuliza kitu anaweza akanijibu kama vile yupo na boyfriend wake. Mama yake nikimuuliza kulikoni anasema nae hajui lolote anashangaa amebadilika gafla.

Nadhani huyu binti ameshaanza kudukuliwa na wajanja.
Kashawajua wanaume walivyo so hata wewe anaanza kukuchukulia poa.

Inahitaji busara sana kudeal nae.
 
Nikimuuliza kitu anaweza akanijibu kama vile yupo na boyfriend wake. Mama yake nikimuuliza kulikoni anasema nae hajui lolote anashangaa amebadilika gafla.

Nadhani huyu binti ameshaanza kudukuliwa na wajanja.

Kima ni hivyo, badisha password yake.

NB:
Ni kumwombea Mungu tu na kuzidi kumshauri na kumweleza ubaya/madhara ya kujihusisha na hayo mambo kabla ya wakati. Pia umweleze uzuri wa kusubiri hadi wakati utakapo fika.
 
Hakuna Kitu Kibaya Km Kumkabidhi Mtoto Simu Na Kumpa Uhuru Uliopitiliza

Uko Sawa mkuu! Binti yangu baada ya kufaulu kuingia kidato cha tano, nikaona mama umekua ngoja nikupatie simu, Lahaula. yaani baada ya wiki nikamshtukiza Lete simu. Dah yaani niliyokutana nayo sijamrudishia tena Hadi leo. Nimemwambia utatumia simu ukifika Kwa mumeo naona bado hujajielewa mama.
 
Mkuu ukiona ukitokea tu mtaan vijana wanakupa heshima na kukupokea mzigo wkt ilikuwa wala hawana muda na wewe ujue mwanao kakuwa hivyo ufuge mbwa itakuwa bora
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
sasa miaka 14 ngoma ilale ziwa km mwajuma ndala ndefu mambo gani hayo,kwanza zamani ndo kabisa bibi anachungulia kila mtoto wa kike akirudi home anapima oil.
Bibi kumchungiza mjukuu sawaa lakini sio baba aisee.... Alafu saa zingine maziwa kulala Ni maumbile ya mtu unakuta Wala hajaanza kuchezewa
 
Bibi kumchungiza mjukuu sawaa lakini sio baba aisee.... Alafu saa zingine maziwa kulala Ni maumbile ya mtu unakuta Wala hajaanza kuchezewa
nikisema chuchu mamaake nikkikumbuka alikua navyo viduchuu saa nne kamili maaana nae alikua kimbaumbau sasa huyu yanalala vp.
 
Back
Top Bottom