Ndo matatizo ya kuzaa mapema haya! Binti anafika umri wa kubenjuliwa baba nae bado yupo kwenye umri wa kubenjua benjua mabinti mtaani! Matokeo yake kabinti kakianza kujaa kifua tu, tayari unawazia majamaa watakavyokuwa wanakirukia!
Mshikaji wangu alipata mtoto wa kike wakati yupo Form I, na mtoto mwenyewe akafuata nyayo za baba kuwa mapepe! Basi mshikaji alianza kuitwa babu kabla hajafika 35!! Taabu ikawa nikimwambia sasa atulie home kwa sababu keshaanza kupata wajukuu, jamaa anakuja juu na kuniambia nina mambo ya kingese, eti anajiona kijana wakati tayari ana mjukuu!!!