Nahisi binti yangu kaanza “kudukuliwa”

Nahisi binti yangu kaanza “kudukuliwa”

Kama wewe naye ni baba,basi anavyokujibu binti yuko sahihi,unawezaje kuandika na kumuwazia mwanao upuuzi kama huu na baadae kumuanzishia uzi jf,tena lugha uliyotumia haina staha kwa baba mwenye maadili mazuri
Hana binti wa umri wa kudukuliwa huyu anapima tu akili za sisi baba zake.
 
Ukiwa baba wa makelele kila wakati na familia yako inakuchukulia hivyo hivyo. Haya maswali lazima watakuzoea na kukupuuza

NANI AMEACHA HIKI KIKOMBE HAPA?
1563794886717.png


KWA NINI HAMJAWASHA TAA.

KWA NINI NGUO HAZIJAANIKWA?

HII PASI NANI AMENYOSHEA AMEACHA HAPA?

NANI AMEMINYA DAWA YA MSWAKI KUANZIA KATIKATI?
1563794886717.png
 
kaa na mwanao uzungumze nae, hata kama anadukuliwa awe anajielewa,,, kuna magonjwa na mimba tengefu mkuu....
 
Kwa maelezo ya mleta uzi, nahisi yeye ndiye anayemduk....
 
Hana binti wa umri wa kudukuliwa huyu anapima tu akili za sisi baba zake.
Nikimuuliza kitu anaweza akanijibu kama vile yupo na boyfriend wake. Mama yake nikimuuliza kulikoni anasema nae hajui lolote anashangaa amebadilika gafla.

Nadhani huyu binti ameshaanza kudukuliwa na wajanja.
Wewe unajiita baba huna adabu.
Na mwanao usimlaumu kabisa manake kakosa baba wa kumfunza maadili.

Na hata km umeanzisha uzi wa uongo kumbuka km huna binti basi wako wasichana ktk familia yako wataoingia ktk uzinifu kwa kukosa maadili km wewe.
Shwain wahed.
 
Nikimuuliza kitu anaweza akanijibu kama vile yupo na boyfriend wake. Mama yake nikimuuliza kulikoni anasema nae hajui lolote anashangaa amebadilika gafla.

Nadhani huyu binti ameshaanza kudukuliwa na wajanja.
kwahiyo unaona wivu kwamba wanamfaidi eeh?
 
Back
Top Bottom