Nahisi binti yangu kaanza “kudukuliwa”

Nahisi binti yangu kaanza “kudukuliwa”

Nikimuuliza kitu anaweza akanijibu kama vile yupo na boyfriend wake.Mama ake nikimuuliza kulikoni anasema nae hajui lolote!!.anashangaa amebadilika gafla.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajisikiaje bana!!! Ukiambiwa malipo ni hapahapa duniani unakataaa. Na wewe ulidukua usisahau.
 
Nikimuuliza kitu anaweza akanijibu kama vile yupo na boyfriend wake. Mama yake nikimuuliza kulikoni anasema nae hajui lolote anashangaa amebadilika gafla.

Nadhani huyu binti ameshaanza kudukuliwa na wajanja.
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu ni .....
Umewala wangapi sasa ni zamu yako cha kwako kiliwe.
 
Back
Top Bottom