Nahisi binti yangu kaanza “kudukuliwa”

Nahisi binti yangu kaanza “kudukuliwa”

Mr mgeni

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
1,222
Reaction score
812
Nikimuuliza kitu anaweza akanijibu kama vile yupo na boyfriend wake. Mama yake nikimuuliza kulikoni anasema nae hajui lolote anashangaa amebadilika gafla.

Nadhani huyu binti ameshaanza kudukuliwa na wajanja.
 
Kiungo chochote katika mwili wa
binadamu kisipotumika kwa muda mrefu
kinakuwa dhaifu baadae huanza kupotea kidogo kidogo na mwishowe hutoweka kabisa.. Kwahiyo ni sawa tu binti kudukuliwa ili kuimarisha kiungo chake kuepusha madhara ya kupotea hapo baadae...!
 
Ana umri gani mkuu
Watoto wanaanza kudukuliwa wakiwa na miaka 14 kama kanashinda sana mitaani.
 
Back
Top Bottom