Hiyo ni feature tu ya app logic behind ni kwamba video unaitazama ukitoka kwenye app ya kutazama inajipause mpaka urudi.
Feature ya app gani, youtube ?
Youtube kwenye android inaweza kuwaka wakati unafanya vitu vingine. Kwa hiyo, hiyo ya kufanya jambo moja kwa wakati sio feature ya app, bali ni feature ya Iphone! Feature ya hiyo A15 BIONIC
Processor kali kuliko zote duniani lakini ukiwasha kitu lazima uzime kitu, then what’s the point of being “most powerful”?