Ni kwa sababu science is just catching up to something kilicho sababisha yenyewe ianze millions of years ago.
Nayo ni ancient mysteries iliyo kuwa ruled by spiritual codes.
Ndo maana Nilikwambia uwe unaenda kupractice hizi vitu kama, angalau soma kuhusu Buddhism utapata glimpse ya nini namaanisha.
Hata hermerticism imetokea ancient teachings ambazo hazina relationship yoyote na hii limited science inayo leta mkanganyiko
Sayansi kutokujua kitu fulani kilifanyika vipi au kili exist vipi au kina operate vipi, Hakufanyi kwamba kitu hicho kiko controlled au kilisababishwa na power iitwayo Mungu.
Sayansi kushindwa kutoa majibu ya kitu, sio kigezo cha kusema kuna Mungu behind.
Ukisema kwamba "Sayansi is just catching" ni kweli. Kwa sababu binadamu sisi hatuwezi kujua tusivyo vijua. Lakini tuna endelea kupunguza tusivyo vijua kwa utafiti, udadisi na uchunguzi zaidi.
Sayansi inaenda kwa utafiti na uthibitisho. Kwa hiyo Sayansi haiwezi kuja na conclusion ya kitu bila kuwa na uthibitisho.
Kwa hiyo Sayansi ikishindwa jambo fulani au kitu fulani, haimaanishi kwamba Mungu ndio jibu la kitu hicho au jambo hilo.
Sayansi kushindwa kuelezea jambo fulani sio kigezo cha kusema kwamba Mungu ndio jibu.
Ukisema kwamba Mungu ndio jibu kwa vile Sayansi ipo limited, Hapa utakuwa umefanya logical fallacy ya DIVINE FALLACY.
The divine fallacy—also known as the argument from incredulity—is a logical error. It happens when someone claims that a hard-to-understand event must be the work of God or magic simply because they cannot find another explanation.
The divine fallacy can take various forms, but it generally has a structure similar to the following:
Premise 1: if I don’t know how to explain a certain phenomenon using science, then it must occur as a result of divine intervention.
Premise 2: I don’t know how to explain this phenomenon using science.
Conclusion: this phenomenon must occur as a result of divine intervention(God).
This form of reasoning is fallacious, because it relies on a flawed premise that renders it logically unsound, and namely on the assumption that if someone doesn’t know how to explain a certain phenomenon using science, then that means that a divine force must be the right explanation for it.
Pia ni GOD OF THE GAPS FALLACY.
The God of the gaps is an argument where gaps in scientific knowledge are presented as proof of God’s work. God of the gaps arguments therefore tend to have the following basic structure:
Premise 1: if science can’t explain a certain phenomenon, then it must be the work of God.
Premise 2: science can’t explain phenomenon X.
Conclusion: phenomenon X must be the work of God.
Accordingly, God of the gaps arguments are highly similar to those that involve the divine fallacy. The main difference between these fallacies is that the God of the gaps fallacy depends on what is known by the scientific community, whereas the divine fallacy depends on what is believed by the speaker.
Kwa hiyo, Sayansi kuwa limited sio kigezo cha kuhitimisha moja kwa moja kwamba kuna hidden power somewhere iitwayo Mungu ina control kila kitu ulimwenguni.