Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

Ety awe na uzoefu wa kudai 😂 h nimecheka sana.
Waseme tuu uwe na uwezo wa kupiga mtu ngumi incase akikataa kulipa deni
1780842792803.gif
 
Yani naelekea kufukuzwa ninapoishi kodi.Nina ka bachelor ka education dada,ila kwa sasa nafanya yoyote.
Hivi naweza wasiliana nawe privately.
Ona kama umesoma education kwanini usianze kazi hata za mishahara ya chini? mbona huwa napost sana kuhusu kazi hizo humu! au hutaki hizo?
 
Sawa,samahani nimejaribu kuku PM Nimeshindwa. Ninaomba nikupe details za ziada privately ili ujue namna ya kunisaidia ndugu yangu.
Kiukweli msaada mkubwa ninaotoa humu ni kupost tangazo tu! Maana sihusiki direct hata kama utanitumia mkuu.
 
Seran Environment science nina mzigo natamani kuutua. AFISA MAZINGIRA sijawahi kuziona hapa kwako.
Leo nmetoka NEMC Kuomba nafasi ya intern nmeambiwa niandae CV nipeleke, nimesoma sheria kumbuka kila ofisi natembea hakuna kulala, kesho naamkia NIDA, nkitoka hapo nacheza na uhamiaji (migration) then namaliza na mahakama ya mirathi, ipo temeke hapo hapo nimeambiwa nipeleke CV, mkuu uangalie ulichosomea ingia kila ofisi ambayo ina relate hata kama ni kwa mbali omba kazi hawana omba kujitolea piga kazi😅😅🙏🙏 muda mwingine ili upate kazi lazima uwe na kazi

(Bahati nzuri tu sheria ina uwanda mpana kila sehemu unaweza kujipenyeza as HR, LEGAL OFFICER, ADMINISTRATIVE etc) Nje na kazi za sheria
 
Back
Top Bottom