Jesuitdon
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 3,154
- 2,657
Nimekufuata PM tenaNimeoa unataka kuwa penetration officer ama upande wa lindo, kama ni penetration officer angalau uwe na vigezo vya kufanya katisha taasisi yoyote ya serikali.
Nimekufuata PM tenaNimeoa unataka kuwa penetration officer ama upande wa lindo, kama ni penetration officer angalau uwe na vigezo vya kufanya katisha taasisi yoyote ya serikali.
Unataka kuwa confidential informat?Nimekufuata PM
Sasa kwenye usaili karatasi ni muhimu kuliko maneno matupu tu.Sina cheti mkuu lkn ufundi rangi naujua vizuri .ntajiongeza huko huko .kuna majamaa walisomea veta lkn wapo slow wanaharibu kazi hadi mchina kawafukuza.me naamimi ufanisi wa kazi na ubora unaonekana kwenye kazi siyo makaratasi
mkuu naomba mawasiliano yako
Nimecheka😂😂😂😂😂Unaelekea kuanza kuuza tako
Barua ya maombi vyeti husika vilivyotsjwa kwenye tsngazo yani cha kuzaliwa kitambulisho cha nida au namba ya nida . kuhusu kuongezwa ni kweli na leo tarehe 18 ndio mwisho . kwaiyo ni Jana ijumaa leo ni weekendwakuu kwa anayefaham jins ya kuaplai,tunaambatanisha na nn ukiachana na barua , na lile tangazo la extensio kwa miaka ni la kweli?
Jeshini hawanyimani lonja kabisa iwe za ukweli iwe uzushi,maisha ya kijeshi bila lonja hutoboi.Choo Cha Kulipia Naona ulikuwa unawapa Ronja Vijana...Uko vizuri
Mbona maelekezo yote yapo kwenye lile tangazo la kwanza kabisa Mkuu? Rejea lile tangazo.Alafu muda umeisha pita jaribuni tena mwakani.wakuu kwa anayefaham jins ya kuaplai,tunaambatanisha na nn ukiachana na barua , na lile tangazo la extensio kwa miaka ni la kweli?
Duuh hii noma mkuu .. hatarii sana kwani waliopo ccp huko nao walipiga chanjo piaVijana mkachanje alafu chanjo ya Uviko-19 msije sema sikuwapa lonja..msishangae getini pale chuoni usiingie kama hujachanja..
Wale wa Dodoma vipi wao Usaili utakuwepo? Au Moja Kwa mojaaaVijana mkachanje alafu chanjo ya Uviko-19 msije sema sikuwapa lonja..msishangae getini pale chuoni usiingie kama hujachanja..
Uliitwa Usaili?Naomba taarifa vijana Dar Usail watafanya lini!?
Leo jmosi mkuu . weekend mkuu huko labda mtu ukabahatisheLeo ndio deadline ya kupeleka maombi ya ajira jeshi la polisi ambao bado hamjapeleka mjitahidi mpeleke hayo maombi yenu.Asante
KMbona maelekezo yote yapo kwenye lile tangazo la kwanza kabisa Mkuu? Rejea lile tangazo.Alafu muda umeisha pita jaribuni tena mwakani.
Mpaka saa saa sita na nusu o saba kamili.Leo jmosi mkuu . weekend mkuu huko labda mtu ukabahatishe
Sio min mzee kuna dogo nadhan alituma maombi!!Uliitwa Usaili?
Ile waliomaliza mwezi wa nne mwaka huu?? Na vp utaratib wao kuandikisha???JKT haiajiri.JWTZ haiajiri ila lina andikisha Askari.JWTZ mwaka jana wamemaliza kozi vijana,mwaka huu pia wamefanya kozi vijana.
Hakuna ambaye hatofanyiwa usaili,Wa Dodoma MM hawa wa Astashahada,Stashahada,Shahada wanahitajika wasiozidi 200 hivyo watakaoitwa kwa usaili watakuwa wapo kwenye zaidi 90% kupata nafasi.Wale wa Dodoma vipi wao Usaili utakuwepo? Au Moja Kwa mojaaa
Mkuu Jeshi halikaririki kusema utaratibu ni hivi na hivi nitakudanganya,Jeshi linaweza kuandikisha Askari kulingana na mahitaji yake.Ile waliomaliza mwezi wa nne mwaka huu?? Na vp utaratib wao kuandikisha???