Engineer MchipilA
Member
- Mar 25, 2020
- 38
- 44
Ili upate update muda woteYani leo ndo mwisho wa maombi vipi uwe online leo
Ili upate update muda woteYani leo ndo mwisho wa maombi vipi uwe online leo
Muda wowote SACP,msemaji wa jeshi la polisi atatoa GO AHEAD ya usaili kwenye tovuti yao na kupitia kwa vyombo vya habari ila kuna uwezekano wiki ijayo watu wakaanza usaili kwa mikoa mingi
sijui mkuuZa kuzuia mikutano ya chadema zinafanyika wapi mkuu?
Kwa wale wenye vipaji maalum/ wanamichezo kwa Dar, usaili ulikua leo kwa Dar pale Chuo cha Polisi, Kurasini
NaamKumbe hadi wenye vipaji walikua wanatakiwa..??
Vipaji hivyo Kama vipiKwa wale wenye vipaji maalum/ wanamichezo kwa Dar, usaili ulikua leo kwa Dar pale Chuo cha Polisi, Kurasini
Niliona kwenye bajeti ya mwezi wa 6 kwenye vyombo vya ulinzi waliosema wanahitaji watu ni pamoja na polisi, magereza, uhamiaji na zimamoto ila jwtz sikuona kama wao wanataka watu sijuh imekuaje anyway kuhusu uhamiaji wao uwa hawachukui watu kwa waliopiga polisi kozi kwl????Uhamiaji hawana tofauti na PT mwaka juzi ndiyo mara ya mwisho kuajiri na kozi yao walipigia CU Kimbini JKT.
Walichukua vijana waliopitia JKT wenye Shahada na Stashahada za Juu ila wao wanachukua sana hizi kozi za social science sana.
Ila kwa kuwa sasa Uhamiaji limekuwa jeshi kamili lazima mwaka huu waajiri askari wengi sana kama idadi hii ya PT ili wakidhi vigezo vya kuitwa Jeshi kweli.
JWTZ lazima liandikishe Askari.Uhamiaji hawachukui Polisi ila zamani PT na UT walikuwa wakifanya kozi pamoja CCP pale wakawa wanatofautiana masomo ya darasani tu.Niliona kwenye bajeti ya mwezi wa 6 kwenye vyombo vya ulinzi waliosema wanahitaji watu ni pamoja na polisi, magereza, uhamiaji na zimamoto ila jwtz sikuona kama wao wanataka watu sijuh imekuaje anyway kuhusu uhamiaji wao uwa hawachukui watu kwa waliopiga polisi kozi kwl????
Hiv na wale wataalamu wa afya polisi, baada ya kozi na wenyewe wanapigishwa jalamba kwanza kwenye malindo au wanapelekwa kuhudumia kwenye kada zao.....maana kuna mdau mmoja alisema hapa lazima upigike kwanza kabla ya kwenda kutumikia kada yako.Ni kweli?Kama nafasi ni zaidi ya 3200 na elimu kuanzia astashahada mpaka shahada hawazidi 200 ina maana kidato cha nne na sita watakuwa zaidi ya 3000.
Mostly michezo, Karate, Taekwondo, riadha, soka, basketball, ngumi, handball, volleyball. Makocha wa kila mchezo tajwa toka Jkt Mgulani pale ndo walisimamia usaili.Vipaji hivyo Kama vipi
UT si Uhamiaji au?JWTZ lazima liandikishe Askari.Uhamiaji hawachukui Polisi ila zamani PT na UT walikuwa wakifanya kozi pamoja CCP pale wakawa wanatofautiana masomo ya darasani tu.
Mostly michezo, Karate, Taekwondo, riadha, soka, basketball, ngumi, handball, volleyball. Makocha wa kila mchezo tajwa toka Jkt Mgulani pale ndo walisimamia usaili.
LazimaHiv
Hiv na wale wataalamu wa afya polisi, baada ya kozi na wenyewe wanapigishwa jalamba kwanza kwenye malindo au wanapelekwa kuhudumia kwenye kada zao.....maana kuna mdau mmoja alisema hapa lazima upigike kwanza kabla ya kwenda kutumikia kada yako.Ni kweli?
Limepita chini chini mwenyewe nilishangaa kwa status za watuLakini kwenye lile tangazo sijaona kama walitaka wenye vipaji pia
Huo ndiyo ukweli,wewe ni Askari unaogopa lindo?Hiv
Hiv na wale wataalamu wa afya polisi, baada ya kozi na wenyewe wanapigishwa jalamba kwanza kwenye malindo au wanapelekwa kuhudumia kwenye kada zao.....maana kuna mdau mmoja alisema hapa lazima upigike kwanza kabla ya kwenda kutumikia kada yako.Ni kweli?
Wahusika walipewa tangazo, watu wa academies za mpira, timu za wanawake za mpira zenye mabinti wadogo, boxing clubs, dojangs za Taekwondo, etcLakini kwenye lile tangazo sijaona kama walitaka wenye vipaji pia
Watu wanategemea kila kitu waambiwe,nafasi kama hizi zikishatangazwa kuna nafasi nyingine hutolewa kwa makundi mbalimbali,kuna wakubwa hupewa nafasi kadhaa,kuna makundi pia kama hiyo ya vipaji maalum nk.Wahusika walipewa tangazo, watu wa academies za mpira, timu za wanawake za mpira zenye mabinti wadogo, boxing clubs, dojangs za Taekwondo, etc
Walihitajika wanamichezo hasa na sio blah blah
Ndo hivyo mkuu, sifa wepesi tu.Watu wanategemea kila kitu waambiwe,nafasi kama hizi zikishatangazwa kuna nafasi nyingine hutolewa kwa makundi mbalimbali,kuna wakubwa hupewa nafasi kadhaa,kuna makundi pia kama hiyo ya vipaji maalum nk.