Kuna deadline mbili ya kwanza ni 14 may 2022 ya danganya toto ni 19 may 2022. Wewe unajaribi bahati kwenye ipi?.mpka tar 19 waombaji tutakuwa M+,ngoja tu tujaribu bahati zetu
Saili zote zitaendeshwa na Halmashauri tena ngazi ya Kata,watu wa Halmashauri watapewa access ya kuona applicants wa Halmashauri zaoHii nchi ina viongozi wa hovyo maana wao kila mambo wanafanya kisiasa tu yani hawapo serious. Kazi kama ya kuwa karani wa sensa au supervisor wanasema sifa awe amamaliza form four?, zoezi Zito kama hili linalohitaji umakini unampa form four nakati Kuna wasomi lukuki.
Haya Sasa piga mahesabu Tanzania nzima waliomaliza form four to above ni wa ngapi. Huo mchujo watauweza au wanatafuta popularity ya kisiasa wapendwe mpaka na mbumbumbu. halafu hizi chaguzi za makarani na wasimamizi wa sensa wangewaachia halmashauri na vitongoji vyake sio NBS maana kwa NBS kufanya screening kwa applicants zaidi ya million 15 sio kitu rahisi. Ngoja tusubiri ila mm si apply maana huu ni utoto.
Mimi mwenyew nimesikia Kuna watu tiyari washaanza hizo seminaMkuu unafukiria nineongea kwa kurupuka. Ni 100% watu wapo kwenye semina Iringa. Sio nineongea kwa fantasies zilizokuwepo bali nakwambia nilicho nauhakika nacho. Labda kama hizi semina zinaenda kwa awamu awamu au labda walienda kwa connection wanaanza kwanza semina kisha wanafuatilia wengineo
Yani nikishaona neno kata ndo nachsnganyikiwa kabisaaSaili zote zitaendeshwa na Halmashauri tena ngazi ya Kata,watu wa Halmashauri watapewa access ya kuona applicants wa Halmashauri zao
Kwa Mimi nilivosikia nikwamba walio pewa hiyo semina Ni hao watendaji wa kata na baadhi ya viongozi kwenye halmashauriMimi mwenyew nimesikia Kuna watu tiyari washaanza hizo semina
Sasa sielewi ni kweli au ni maneno ya watu tu
Ukufanikiwa kutum unapata ujumbe?
najua unatumia crome click hizo dot tatu hapo juu uweke katika mfumo wa desktop mode utaona hizo erros.Aliyeweza kufix hizi errors kafanyeje!?
View attachment 2214479
hiv km umekosea huwezi edit?Ukifanikiwa kusubmit inakuja document yenye hizo taarifa ulizojaza tayar kwa kuprint.
Then kuna ujumbe wanakutumia kwenye email yako, huo ujumbe una username na password ambazo uta login then utaituma tena hiyo document ambayo umekwisha kuiprint na kuisainisha kwa mwenyekiti, wadhamin na ww mwenyewe.
Baadhi ya taarifa unaweza edit ila sio vyeti na picha ukishakosea ndo imeisha na Kama pia ukikosea kuapload barua iliyosainiwa ndo basi Tena system kwako inakua (inajifunga)imekamilisha Kuwa maombi yamepokelewa Kama Kuna sehemu hukusaini basi Tena subri maajabu ya mungu labda Kama wataongeza vipengele vya kuedit formhiv km umekosea huwezi edit?
Naomba nielekeze vizur plzToka na clear byo browser unayotumia then ingia tena uanze mwanzo
N.B Hakuna kitu rahisi hapa dunian
We tafta mzamini yeyote hawajatoa vigezoNaomba kujua wadhamini wanaotakiwa hapo wanatakiwa kuwa na sifa zipi
Mtu yeyote hata kama hana wadhifa?We tafta mzamini yeyote hawajatoa vigezo
Kwenye system hakuna sehemu ya kujaza kazi au wadhifa wa mzamini Kuna majina matatu namba na email then form ukiidownload inaongezeka sehemu ya mkoa anakaa wilaya, kata na mataa na sehemu ya dole gumba hakuna sehemu ya wadhifaMtu yeyote hata kama hana wadhifa?
Sawa asante kwa ufafanuziKwenye system hakuna sehemu ya kujaza kazi au wadhifa wa mzamini Kuna majina matatu namba na email then form ukiidownload inaongezeka sehemu ya mkoa anakaa wilaya, kata na mataa na sehemu ya dole gumba hakuna sehemu ya wadhifa
NB: Kama unauwezo wa kuwapata hao wenye wadhifa watafute tu mkuu huwezi jua huenda wakaongeza ubora wa maombi Yako hahahahaha