Anna Nkya
Member
- Oct 21, 2021
- 69
- 341
So nimekuwa nikifollow up case ya Mbowe kupitia Twitter. Nasoma ushahidi uliotolewa hadi sasa.
Ninaona kuna element za kwamba Mbowe alikuwa anapanga mipango kadhaa ya kisiasa. Mfano kuna witness mmoja aliyekuwa mpiga picha wa Sabaya, alieleza jinsi Mbowe alivyomtafuta ili ajue moves za Sabaya. To me, such movement ni ya kawaida kwa wanasiasa, wote wanafanya. Lazima utafute taarifa za wapinzani wako.
No matter what Mbowe did, mimi binafsi siamini kam Mbowe was planning kulipua vituo vya mafuta au kufanya actions za terrorism kiasi cha kuua watu au kuleta hofu kiasi hicho. Sina ushahidi wa maneno yangu, lakini siamini tu.
Lakini jambo lingine ambalo pia siamini, ni lile linalosemwa na baadhi ya watu kwamba eti Rais Samia anataka kumfunga Mbowe. HILO SIAMINI HATA KIDOGO.
WHY?
1. Sioni sababu ya Rais kumfunga Mbowe miaka 15. Kwa sababu ile kesi nimeambiwa adhabu yake haipungui miaka 15 jela. Sioni sababu ya Samia kufanya hivyo. Mbowe sio mtu tishio hivyo kwa utawala, huku nje kuna watu wanaweza kuwa tishio kabisa na wanadunda.
Tusichukulie poa influence ya Tundu Lissu hata kama yuko abroad, that man got influence kwa wapinzani anaweza kusambaza sumu kubwa tu mtandaoni. But alichokifanya Rais Samia ni kumfutia kesi zote za uchochezi, alikuwa na kesi 5 zote zimefutwa. That tells a lot, ina maanisha Samia yuko tayari Lissu arudi.
Huku nje kuna Mnyika, Zitto Kabwe na wanasiasa wengine. Kina Shekhe Ponda, Jenerali Ulimwengu na wengine wanaendelea kuwasha moto wa Katiba, KWA NINI WASIKAMATWE?
Sioni sababu hata moja Samia atake kumfunga Mbowe.
2. Kesi ya Mbowe ina hasara kuliko faida kwa Rais anayetengeneza jina lake. Huyu Rais anataka watu wamuamini, hawezi kucheza iyo karata ya kuendelea na kesi au kuja kumfunga Mbowe. HAWEZI KUFANYA KOSA HILO.
So, sielewi kwa nini kesi hii iliyofunguliwa na Awamu iliyopita bado ipo. I just beleive kuna sababu za msingi sana zinazofanya iendelee na Rais Samia aipishe kabisa.
Mtandaoni kuna watu wanasema Rais hakupewa taarifa za kweli and all that, labda ni kweli labda kuna mengine.
Ninachoomba hii iishe salama. WE NEED PEACE AND UNITY OF OUR NATION NOW THAN EVER.
Ninaona kuna element za kwamba Mbowe alikuwa anapanga mipango kadhaa ya kisiasa. Mfano kuna witness mmoja aliyekuwa mpiga picha wa Sabaya, alieleza jinsi Mbowe alivyomtafuta ili ajue moves za Sabaya. To me, such movement ni ya kawaida kwa wanasiasa, wote wanafanya. Lazima utafute taarifa za wapinzani wako.
No matter what Mbowe did, mimi binafsi siamini kam Mbowe was planning kulipua vituo vya mafuta au kufanya actions za terrorism kiasi cha kuua watu au kuleta hofu kiasi hicho. Sina ushahidi wa maneno yangu, lakini siamini tu.
Lakini jambo lingine ambalo pia siamini, ni lile linalosemwa na baadhi ya watu kwamba eti Rais Samia anataka kumfunga Mbowe. HILO SIAMINI HATA KIDOGO.
WHY?
1. Sioni sababu ya Rais kumfunga Mbowe miaka 15. Kwa sababu ile kesi nimeambiwa adhabu yake haipungui miaka 15 jela. Sioni sababu ya Samia kufanya hivyo. Mbowe sio mtu tishio hivyo kwa utawala, huku nje kuna watu wanaweza kuwa tishio kabisa na wanadunda.
Tusichukulie poa influence ya Tundu Lissu hata kama yuko abroad, that man got influence kwa wapinzani anaweza kusambaza sumu kubwa tu mtandaoni. But alichokifanya Rais Samia ni kumfutia kesi zote za uchochezi, alikuwa na kesi 5 zote zimefutwa. That tells a lot, ina maanisha Samia yuko tayari Lissu arudi.
Huku nje kuna Mnyika, Zitto Kabwe na wanasiasa wengine. Kina Shekhe Ponda, Jenerali Ulimwengu na wengine wanaendelea kuwasha moto wa Katiba, KWA NINI WASIKAMATWE?
Sioni sababu hata moja Samia atake kumfunga Mbowe.
2. Kesi ya Mbowe ina hasara kuliko faida kwa Rais anayetengeneza jina lake. Huyu Rais anataka watu wamuamini, hawezi kucheza iyo karata ya kuendelea na kesi au kuja kumfunga Mbowe. HAWEZI KUFANYA KOSA HILO.
So, sielewi kwa nini kesi hii iliyofunguliwa na Awamu iliyopita bado ipo. I just beleive kuna sababu za msingi sana zinazofanya iendelee na Rais Samia aipishe kabisa.
Mtandaoni kuna watu wanasema Rais hakupewa taarifa za kweli and all that, labda ni kweli labda kuna mengine.
Ninachoomba hii iishe salama. WE NEED PEACE AND UNITY OF OUR NATION NOW THAN EVER.