Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe wakati akiwasilisha ujumbe wa maandamano ameonya kuwa serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia imekuwa ya anasa kupitiliza kwa maafisa wake kulipana posho nono na safari zisizoisha.
Mbowe amesema serikali hii imewasahau wananchi wake kwani vitu vinapanda bei kupitiliza kila siku na kuyafanya maisha kuwa magumu sana.
View: https://youtu.be/t4wRMiyEMUc?si=GhdkzwkPIUkp5JAw
Mbowe amesema serikali hii imewasahau wananchi wake kwani vitu vinapanda bei kupitiliza kila siku na kuyafanya maisha kuwa magumu sana.
View: https://youtu.be/t4wRMiyEMUc?si=GhdkzwkPIUkp5JAw