Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,651
- 860,921
- Thread starter
- #21
Nina rafiki yangu ofisini kwetu hapigi kura kutokana na imani yao.Jamaa anasali kanisa la MASHAHIDI WA YEHOVA.Pamoja na elimu yote jamaa haambiliki.Hizi dini mhhhhhhhh
Wakati Hawa hawa Mashahidi wa Yehova wanaoamini kuwa lucifer alikuwa ndio mfalme wa Babylon