Nabii Penuel Mnguni aonja joto ya jiwe

Nabii Penuel Mnguni aonja joto ya jiwe

Ujinga yaani unapewa nywele unakubali kula ili iwe nini hawa wakipewa mabomu wanajilipua ili waende pepo!
Kuna na wale wengine wanaomwabudu binadamu mwezao. Hii ndio mtu anaku.nya kama wewe bado unaamini yeye ni Mungu.
 
Kuna na wale wengine wanaomwabudu binadamu mwezao. Hii ndio mtu anaku.nya kama wewe bado unaamini yeye ni Mungu.
Ni binadamu mwenzao kweli lakini kwa kuwa wanaamini alipaa basi anakuwa ndio Mungu....
 
Kaka umeshindwa kuthibitisha au? Au kujieleza mwenyewe bila kusaidiwa ni shida kwako. Mimi nitakujibu baada ya kunijibu swali langu. Thibitisha kwamba imani yako ni sahihi?
Nimeshakujibu.....siabudu miti wala sanamu na wala sikai kwenye bench wakati naabudu...
 
Hata usiwaze tunaelekea kwenye point. Umewahi kumuona Mwenyezi MUNGU?
Yule wanaomwabudu hao jamaa namjua....huwa namwona kwenye picha au video hasa kipindi hiki cha pasaka....na pia ule mti wenye pande mbili wanaoudhania Mungu pia huwa nauona.....umenielewa?
 
Yule wanaomwabudu hao jamaa namjua....huwa namwona kwenye picha au video hasa kipindi hiki cha pasaka....na pia ule mti wenye pande mbili wanaoudhania Mungu pia huwa nauona.....umenielewa?
Jibu swali umewahi hujawi? Mbona unataka kunitoa kwenye key?
 
Wakati Hawa hawa Mashahidi wa Yehova wanaoamini kuwa lucifer alikuwa ndio mfalme wa Babylon
Ukiwa expert member ujitahidi kuongea facts na unaposhutumu watu uwe na evidence, ukiambiwa ulete ushahidi kwamba Mashahidi wa Yehova wanaamini Lucifer ndio mfalme wa Babyloni utaleta. Acha kujidhalilisha na kushutumu imani za watu bila ushahidi. Huu unaitwa upumbavu,
 
Back
Top Bottom