Ni kweli huu ni upumbavu.....maana kumbadilisha mtu aliyelishwa ujinga 1+1+1 jibu lake ni moja wakati kiuhalisia jibu lake ni TATU lazima wakati unamtoa huko gizani akuite wewe ni mpumbavu....sikatai sana kwa hoja hiii.....Ukiwa expert member ujitahidi kuongea facts na unaposhutumu watu uwe na evidence, ukiambiwa ulete ushahidi kwamba Mashahidi wa Yehova wanaamini Lucifer ndio mfalme wa Babyloni utaleta. Acha kujidhalilisha na kushutumu imani za watu bila ushahidi. Huu unaitwa upumbavu,
Haya asante mwerevuUkiwa expert member ujitahidi kuongea facts na unaposhutumu watu uwe na evidence, ukiambiwa ulete ushahidi kwamba Mashahidi wa Yehova wanaamini Lucifer ndio mfalme wa Babyloni utaleta. Acha kujidhalilisha na kushutumu imani za watu bila ushahidi. Huu unaitwa upumbavu,
Hii ndio watchtower originalUkiwa expert member ujitahidi kuongea facts na unaposhutumu watu uwe na evidence, ukiambiwa ulete ushahidi kwamba Mashahidi wa Yehova wanaamini Lucifer ndio mfalme wa Babyloni utaleta. Acha kujidhalilisha na kushutumu imani za watu bila ushahidi. Huu unaitwa upumbavu,
ufanye huo upuuzi msikitini? si bakora zitakuhusu? labda kama hujipendi.Hivi habari hizi za kipuuzi mbona ni makanisani tu?kwanini hatusikii misikitini?
hao freedomfighters(wapagani?) wameonekana wakombozi wa utumwa wa kiroho...
Haya asante mwerevu
![]()
-unaifahamu watchtower na maana yake?
-unajua kwanini Mashahidi wa Yehovah wanamuita lucifer kama The light bearer?
-unajua nini maana ya morning star kwenye Yehovah's Witness?
-unajua ni kwanini watchtower inatumika na wao kama alama yao kuu
Nijibu haya halafu tutaona upumbavu wangu au werevu wako
Umenena vema mkuu ila Mungu huwa hakai na wanadamu.....siyo mimi bali ni biblia hiyohiyo......Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa (hosea 4:6) sisi watu wa kizazi hiki shida zimetujaa na kupenda sifa, tunaisoma biblia lakini hatuielewi na ile karama ya kupambanua roho ndio zero kabisa kwa waamini wengi wetu.Jamani tujifunze kukaa na Mungu na kumsikiliza na sio kusikiliza huu upuuzi wa manabii kama hawa
Kwani Watabiri Wakuu Wa Nyota Ni Kinanani, Na Je Quran Inakubali Utabiri Au Dhambi.Mkuu misikitini wanakuja na tunawatambua kwa majina na kwa designs za: Alshabab, Alkaida, Boko haram, Isis, etc
Malyenge, Unataka Kunambia Quran Imekataza Kusamehe?!.Hatuwezi kuuvumilia ujinga....eti mtu akikupiga kofi shavu la kulia mgeuzie na la kushoto....lo!! Hayo maneno hayawezi kuwa yametamkwa na Mungu.....haiwezekani Mungu aongoze kwa kuwa mwenye busara sifuri.....!!!
Hivi mnaposoma maandiko kwanini huwa mnaongeza fikra zenu? Andiko linaposema mtu akikupiga kofi shavu la kushoto mgeuzie na la kulia maana yake siyo kusamehe!!!! Maana yake umgeuzie shavu lingine aendelee kukukandamiza na makofi!!! Sasa huyu Mungu wa aina hii anayewapumbaza wanadamu wake waendelee kupigwa makofi hafai.....!Malyenge, Unataka Kunambia Quran Imekataza Kusamehe?!.
Kama Imekataza Basi Ni Vyema Na Kama Haijakataza Basi We Si Muumini Bali Shabiki Wa Dini Yako Kama Vile Simba Na Yanga.
Hakuna Maelewano Hapa.Hivi mnaposoma maandiko kwanini huwa mnaongeza fikra zenu? Andiko linaposema mtu akikupiga kofi shavu la kushoto mgeuzie na la kulia maana yake siyo kusamehe!!!! Maana yake umgeuzie shavu lingine aendelee kukukandamiza na makofi!!! Sasa huyu Mungu wa aina hii anayewapumbaza wanadamu wake waendelee kupigwa makofi hafai.....!
Kusamehe ya kweli ni lie inayosema SAMEHE SABA MARA SABINI......NA SIYO HIYO YA KUGANDAMIZWA MAKOFI MUNGU ANAENDELEA KUKUZUBAISHA ILI UENDELEE KUPATA KICHAPO.......!
UMRULIZA QURAN kuhusu kusamehe. Hiyo ni mada nyingine.....
Quran inafundisha mtu akidhamiria kukudhuru kimbia........Upo hapo??
Mkuu namaanisha maisha yetu ysongozwe na Mungu daima na sio wanadamuUmenena vema mkuu ila Mungu huwa hakai na wanadamu.....siyo mimi bali ni biblia hiyohiyo......
Efeso anasema
Watu wangu wanaangamia KWA kukosa maarifa NA sikuza mwisho lazima maandiko yatimiee