Naacha kazi serikalini

Naacha kazi serikalini

Kuna bosi flani alinisumbua balaaa asee acheni, nilitamani kuacha kazi muda woote, ilifikia kipindi ananiambia hujui kazi mara kazi zako mbaya, ananiita hopeless daahh sikutamani hata kufanya kazi, akawa hanipi kazi kabisaa

Nikamfata nikamwambia kama kazi zangu mbovu niweke chini ya mtu unayemwamini anajua kazi awe anazikagua kabla ya kufika kwako akasema sitaki kwani nampangia jinsi ya kufanya kazi.

Niliteseka balaaaa, kazi yenyewe ilikua ya mkataba anakwambia mkataba wako ukiisha ondoka zako, hapo kaleta demu wake(ana mke tayari ila) na mtoto wa mjomba wake tupo same pool kazi moja

Nikasema poa, Mungu si athumani nikapata kazi pengine tena mara mbili ya kwake nikauchuna tuu namsubiri siku aje anivagae nimtukane (tulishawahi kugombana nae sana, nilipoanza kazi pale alikua na cheo cha kawaida sana hakuweza kunifanya lolote)

Hapo nimeandika barua yangu ya kuacha kazi tayari ninayo, bwanaaaa weeee siku ikatimia, ametupa kazi watu 4, hakuna aliemaliza akataka sifa mbele za watu maana anapenda sifa saaana, akaniuliza umemaliza kazi yangu nikamwambia badoo nafanya

Akamwita HR huyu mwandikie barua ya kusitisha mkataba mbele ya watuu, asee nikiwaka nikamwambia unachelewa sanaaaa nahitaji usaini barua yangu hii sasa hivi niondoke

Hataamini alianza kusemaa oohh leta hela, nikamwambia umenipa hiyo pesaa

Tuligombana kwa maneno balaa nikamwachia na likazi lake alifanye nikaondoka zangu kwa kiburi

Sitasahau m*mbwa yule, sitakuja kumuheshimu hata awe Rais wa nchi hii, yaani unamchukia mtu ambae mshahara wake unaingia mara 3 kwako tena ni junior tu hata miaka 3 ya kazi hana

Mtoa mada nakuelewa sana, Moyo wa ndani ukifa kwenye kazi unayofanya haiwezekani tena kuurudisha asee
 
True.

Kuna umuhimu wa kuelimishana juu ya hili jambo.
Yes nimeona wengi sana ambao wanateseka kwa sababu ya hili. Ila ukiwauliza ,kwanini wanasema ualimu haulipi? Jibu lao ni kwamba hela ni ndogo.

Lakin unamuuliza mbona wengine wanajenga, na wanaendesha biashara zingine kubwa kando ya ualimu? Anakuwa hana jibu. Kumbe alikopa parefu na kuwekeza sehemu ambayo haiwarudishii kipato chochote ambacho kingeenda kuziba pengo lililowekwa kwenye mshahara.
 
Mimi sikushauri hata kidogo kuacha kazi serikalini, tafuta tu chanzo kingine cha mapato
Kuna wakati tunakosa cha kushauri kwa kuwa mhusika hajatoa mwanga wa nini anahitaji

Hapa anahitaji tushauri aache kazi au asiache

Maana hajaweka nini kinahitaji ushauri zaidi
 
Kuajiriwa ni hatua ya kawaida kwa wanao tafuta mtaji

Kupata mtaji ni moja ya njia ya kuanzisha mradi mpya utako kupa kipato cha ziada

Kuacha kazi ni baada ya kuona mradi wa pili umesimama imara una uwezo wa kujiendesha na kubakiza kichache cha kukusaidia kulea familia

Kama umeanza mradi mpya bado hauja fikia hatua ya kujiendesha basi jiwekee muda maalum kwa ajili ya kuuwezesha mradi kujiendesha na kubakiwa na akiba kwaajili ya wewe kutumia na familia

Wengi tunahisi tunaweza kujitegemea kirahisi ila mazingira ya nje na ajira yana changamoto ambazo utajikuata umekuwa kama kituko kwa jamii na kufanya walio nyuma yako wakudharau zaidi ya ulivyo kuwa na kazi
 
Ila ingependeza ukarekebisha wapi kweny uandishi nmekosea nammi nkajifunza kutoka kwako
Naomba niambie hii ni lugha gani umeandika, maana sio Kiswahili wala Kiingereza. Sasa wewe kama mwalimu ambaye unajua umuhimu wa kutoa ujumbe ambao utaeleweka kwa unaowapa taarifa, unaandika lugha isiyoeleweka hivyo, je watoto wetu utawafundisha nini.? Naomba jirekebishe hata unapoenda unaweza kuja kuandika andiko muhimu la biashara ukaandika lugha kama hii, ukanyimwa ukaona kuna wachawi kumbe ni wewe mwenyewe. Mwandiko huo unafanya uonekane hauko makini.

Habari wakuu wote wa jf
nawapenda sana hasa kwa mambo mazur nnayopata
Mmi ni mtumishi wa serikali kada ya elimu (mwl)

Sababu hasa ni hizi
1.interest au hob
Kiukweli hii kazi siipendi niliisomea bada ya kuwa sina otenative najitaidi niikubali but inashindikana so naona kama napoteza muda

2.kipato
Najua kuwa watumishi weng hasa awamu hii ya 5 weng wanalalamika hali ya uchumi but mmi naona hii yangu ni too much

Kiukweli najitahidi sana kujibana ila naona nashindwa, nashindwa kufanya hata mambo ya kawaida tu nikiwa kama baba natamani familiar yangu angalau iishi standard hata kias tu but huku nliko naona kama ndoto
Yan labda uwe mzee wa topup jambo ambalo naona pia ntaongeza ufukara mana ukiisha ndo utataabika kama nnavyoona wengine

Lengo la uzi huu ci kuwatangazia msimamo wangu bali ni kuwaomba wale ambao walishachukua maamuzi kama yangu au wanaotarajia hivyo waendlee kunipa moyo pia wote ambao watakua na wasaa basi wanisaidie kimawazo nifkie lengo langu

Naomba kuwaslisha

NB: Pls nmejitaidi kutumia lugha nzuri naomba bro o sister kama unanishaur bas lugha iwe ya kunielewesha isiwe ya kebehi au kunitusi kwan kuyaheshimu maamuzi ya mtu ni jambo la busara
 
Jipange kwangu, baadae achana na utumwa wa kuajiriwa serikalini. Ungekuwa na miaka >55 ningekwambia mara moja achana na maisha ya utumwa lakini kwa vile bado usiache kwanza

Miaka 55 unamshaur aache kazi anakwenda kufanya nini? Yaani saiv ana nguv unamwambia asiache akizeeka ndo aache huuu utani mkubwa sana
 
Mshahara ni mtamu sana na ni wa uhakika kila mwezi.
Mimi sikushauri uache kazi , ila kama una wazo la biashara unaweza kufungua biashara yako na ukaweka msimamizi, huku ukitoka kazini unapitia kukagua.

Ila kuacha kazi , tena kama ni serekalini usiache , maisha ya biashara msimu huu wa Magu ni magumu sana.
 
Miaka 55 unamshaur aache kazi anakwenda kufanya nini? Yaani saiv ana nguv unamwambia asiache akizeeka ndo aache huuu utani mkubwa sana
No - miaka 55 mtu hajazeeka kiasi kwamba hawezi kusimamia project yake for the next ten years, baada ya hapo atakuwa 65, anasubiri miaka mingine 5, kabla hajaenda kuhukumiwa kwa matendo yake ya hapa duniani
 
No - miaka 55 mtu hajazeeka kiasi kwamba hawezi kusimamia project yake for the next ten years, baada ya hapo atakuwa 65, anasubiri miaka mingine 5, kabla hajaenda kuhukumiwa kwa matendo yake ya hapa duniani

Ok poa mkuu
 
Ukiishi katika uoga hakika hautafanikiwa katika Maisha haya.
uoga ni adui mkubwa wa mafanikio.
Pia ujinga ni kung'ang'ana na kitu ambacho hakikunufaishi wala kukuletea mfanikio yoyote.
Fikiria umefanya kazi 5yrs but hauna hata nyumba wala gari.
Maisha yako kila kukisha yanazidi kuwa magumu sana.
But unazidi kung'ang'ana hukohuko. Huo ni ujinga mkubwa sana. Njoo tufanye ujasiriamali mkuu.
utateseka mwaka mmoja ila after 3ys utakuwa Tajiri mkubwa sana mwenye kipato kizuri sana.
Wekeza katika mambo madogo madogo mfano mradi wa chips, mgawahawa , sehemu ya kuuza pombe pamoja na kitimoto , ukumbi wa kuangalia mpira etc uone utakavyokuwa uaningiza hela mpaka utajuta kupoteza muda huko uliko.
Mkuu siku hizi hata utokaji wa pombe umekuwa magumu sana
 
Sio lazima. Ushauri wa Kioga ukisha kuwa na Uoga ndani hata ukiweka moundo mbinu ya kutosha bado hutaacha kazi
Pole sana mkuu, ningekushauri kabla ya kuacha uwe umeshaimarisha kipato chako na una njia nyingine mbadala ama sivyo utaitesa familia yako na wewe mwenyew
 
Naomba niambie hii ni lugha gani umeandika, maana sio Kiswahili wala Kiingereza. Sasa wewe kama mwalimu ambaye unajua umuhimu wa kutoa ujumbe ambao utaeleweka kwa unaowapa taarifa, unaandika lugha isiyoeleweka hivyo, je watoto wetu utawafundisha nini.? Naomba jirekebishe hata unapoenda unaweza kuja kuandika andiko muhimu la biashara ukaandika lugha kama hii, ukanyimwa ukaona kuna wachawi kumbe ni wewe mwenyewe. Mwandiko huo unafanya uonekane hauko makini.

Habari wakuu wote wa jf
nawapenda sana hasa kwa mambo mazur nnayopata
Mmi ni mtumishi wa serikali kada ya elimu (mwl)

Sababu hasa ni hizi
1.interest au hob
Kiukweli hii kazi siipendi niliisomea bada ya kuwa sina otenative najitaidi niikubali but inashindikana so naona kama napoteza muda

2.kipato
Najua kuwa watumishi weng hasa awamu hii ya 5 weng wanalalamika hali ya uchumi but mmi naona hii yangu ni too much

Kiukweli najitahidi sana kujibana ila naona nashindwa, nashindwa kufanya hata mambo ya kawaida tu nikiwa kama baba natamani familiar yangu angalau iishi standard hata kias tu but huku nliko naona kama ndoto
Yan labda uwe mzee wa topup jambo ambalo naona pia ntaongeza ufukara mana ukiisha ndo utataabika kama nnavyoona wengine

Lengo la uzi huu ci kuwatangazia msimamo wangu bali ni kuwaomba wale ambao walishachukua maamuzi kama yangu au wanaotarajia hivyo waendlee kunipa moyo pia wote ambao watakua na wasaa basi wanisaidie kimawazo nifkie lengo langu

Naomba kuwaslisha

NB: Pls nmejitaidi kutumia lugha nzuri naomba bro o sister kama unanishaur bas lugha iwe ya kunielewesha isiwe ya kebehi au kunitusi kwan kuyaheshimu maamuzi ya mtu ni jambo la busara
We nmekusamehe bure mkuu!
 
Mkuu wenzako wanaacha kazi wakiwa tiyari wana mitaji mizuri ama tiyari wame shafungua njia nyingine za vyanzo vya mapato we umejipangaje.

Pasi ndefu utaziweza mkuu? Siku ukikosa mkate. Maana kama ukiacha na ukiwa huna shughuli mtaani si lelema mkuu.
Sio lazima. Kuacha ni kuacha tu. Anaweza acha akiwa na zero ground na bado akatoboa.

Uoga ndo unao tutuma hivyo hakuna kingine
 
Kama hujajipanga nakushaur usipige chini mzigo ndugu yangu maisha ya kitaa Ni magumu kushinda unavyodhani

Mm Ni muhanga wa hayo nilipiga chini Kaz katika utawala wa mzee wa msoga na nikiwa na salary nzuri tu ya kuish mjini na kufanya mambo yangu mengne lakin nilikuwa sina ndoto za kuwa mwajiriwa.

Wakat natoka nilihakikisha kabisa Nina salio la kutosha la kuishi ndani ya miez sita bila bugza yeyote hapo nikaweza

Nilipotoka sikufanya ajiz ila smartphone yangu ikanipa Kaz nch moja huko ulaya japo sikukaa saana kutokana na ubaguz nikarud bongo then nika set connection zangu nikasepa Tena mbele kwa kupata kampun moja ambayo nishamaliza mkataba nayo

Ila cha msing kama hauna connection yeyote ile usije ukaacha Kaz tu jipange Kwanza

Na usiwaze haya mashirika kama Ni mvivu aisee kuvunjiwa mkataba Ni rahis sana

Pigana baba Kwanza
Wewe sasa yeye ni yeye, hapo ndo tunapo kosea kwamba kwa sababu fulani alifeli basi na wewe utafeli

Pia kujipanga sio hoja. wa Mgapi wana filisika na walikuwa matajiri wakubwa kabisa na pesa za kutisha?

Unazania akijipanga ndo hatafilisika?

HII NDO MAANA INAITWA RISK TAKER.

Lazima ubebe risk zote usonge nazo mbele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom