Naacha kazi serikalini

Kama hujajipanga nakushaur usipige chini mzigo ndugu yangu maisha ya kitaa Ni magumu kushinda unavyodhani

Mm Ni muhanga wa hayo nilipiga chini Kaz katika utawala wa mzee wa msoga na nikiwa na salary nzuri tu ya kuish mjini na kufanya mambo yangu mengne lakin nilikuwa sina ndoto za kuwa mwajiriwa.

Wakat natoka nilihakikisha kabisa Nina salio la kutosha la kuishi ndani ya miez sita bila bugza yeyote hapo nikaweza

Nilipotoka sikufanya ajiz ila smartphone yangu ikanipa Kaz nch moja huko ulaya japo sikukaa saana kutokana na ubaguz nikarud bongo then nika set connection zangu nikasepa Tena mbele kwa kupata kampun moja ambayo nishamaliza mkataba nayo

Ila cha msing kama hauna connection yeyote ile usije ukaacha Kaz tu jipange Kwanza

Na usiwaze haya mashirika kama Ni mvivu aisee kuvunjiwa mkataba Ni rahis sana

Pigana baba Kwanza
 
Habari wakuu wote wa jf
nawapenda sana hasa kwa mambo mazur nnayopata
Mmi ni mtumishi wa serikali kada ya elimu (mwl)

Sababu hasa ni hizi
1.interest au hob
Kiukweli hii kazi siipendi niliisomea bada ya kuwa sina otenative najitaidi niikubali but inashindikana so naona kama napoteza muda

2.kipato
Najua kuwa watumishi weng hasa awamu hii ya 5 weng wanalalamika hali ya uchumi but mmi naona hii yangu ni too much

Kiukweli najitahidi sana kujibana ila naona nashindwa, nashindwa kufanya hata mambo ya kawaida tu nikiwa kama baba natamani familiar yangu angalau iishi standard hata kias tu but huku nliko naona kama ndoto
Yan labda uwe mzee wa topup jambo ambalo naona pia ntaongeza ufukara mana ukiisha ndo utataabika kama nnavyoona wengine

Lengo la uzi huu ci kuwatangazia msimamo wangu bali ni kuwaomba wale ambao walishachukua maamuzi kama yangu au wanaotarajia hivyo waendlee kunipa moyo pia wote ambao watakua na wasaa basi wanisaidie kimawazo nifkie lengo langu

Naomba kuwaslisha

NB: Pls nmejitaidi kutumia lugha nzuri naomba bro o sister kama unanishaur bas lugha iwe ya kunielewesha isiwe ya kebehi au kunitusi kwan kuyaheshimu maamuzi ya mtu ni jambo la busara
mm mwenzako nlifanya maamuzi magum kama yako mwaka Jana/ nkajiingiza kwe kilimo cha mpunga, challenges zipo japo hazifanan na ulaji wa vumbi LA chaki na kipato chake , kwa sasa navuna kitunguu changu, najiaandaa tena na msimu mpya wa mpunga kiukwel though nashinda shamba lakin nanenepa kila uchwao! na mambo yanaenda vzr
 
mm mwenzako nlifanya maamuzi magum kama yako mwaka Jana/ nkajiingiza kwe kilimo cha mpunga, challenges zipo japo hazifanan na ulaji wa vumbi LA chaki na kipato chake , kwa sasa navuna kitunguu changu, najiaandaa tena na msimu mpya wa mpunga kiukwel though nashinda shamba lakin nanenepa kila uchwao! na mambo yanaenda vzr
Hongera sana mkuu unipokee uko namm
 
Nikweli napenda iwe hivyo but kuupata huo mhimili ni zaidi ya shida
Kabla hujaacha kazi hakikisha una mhimili wa kukuwezesha wewe na familia yako kusurvive.. Baada ya kujihakikishia hilo piga chini kacharike kivingine.

Bila kuzingatia hilo utazikumbuka zile 500 ulizokuwa ukizipata nwisho wa mwezi.
 
Kidogo nna experience ya ujasiria mali coz hata wakati naenda kweny ajiara nlitoka kwenye biashara ambayo nlishaiona inaangalau afadhali ya Maisha so nataka nirudi kulekule
Ok, kama umewahi kufanya huo ujasiriamali na ukaona mambo yanakwenda vyema basi hakikisha una mtaji wa kutosha wa kufanya hayo. Atleast zaidi ya nusu ya mtaji wako uwe nao kama akiba yako, kwa mfano kama unazo 5M unazotaka kuzitumia kama mtaji wa shughuli yako basi uwe na extra 2.5M ya akiba kwa ak ya emergency!

Usiwapuuze pia waliokushauri usiache kazi ambao naona ndio majority ila naweza kuungana na wewe katika kuchukua risk. Ili tufanikiwe sometimes inabidi tuchkuwe risks.

Hakikisha pia unapata full consent ya mke wako maana ndio mwenzako na mtapambana pamoja katika dhamira yenu.
 
Ok, kama umewahi kufanya huo ujasiriamali na ukaona mambo yanakwenda vyema basi hakikisha una mtaji wa kutosha wa kufanya hayo. Atleast zaidi ya nusu ya mtaji wako uwe nao kama akiba yako, kwa mfano kama unazo 5M unazotaka kuzitumia kama mtaji wa shughuli yako basi uwe na extra 2.5M ya akiba kwa ak ya emergency!

Usiwapuuze pia waliokushauri usiache kazi ambao naona ndio majority ila naweza kuungana na wewe katika kuchukua risk. Ili tufanikiwe sometimes inabidi tuchkuwe risks.

Hakikisha pia unapata full consent ya mke wako maana ndio mwenzako na mtapambana pamoja katika dhamira yenu.
Very nice mkuu
 
Pole kwa masahibu lakini kumbuka mvumilivu ula mbivu. Kama waalimu Magufuli, Majaliwa, Mhagama, Ali Hassan Mwinyi na Nyerere wasingevumilia, unadhani wangelifika hapo walipofikia? Wee vumilia, halafu tafuta kazi ya CCM, gombea Ubunge na baadae Urais. Kila kitu kina mwisho wake.
Habari wakuu wote wa jf
nawapenda sana hasa kwa mambo mazur nnayopata
Mmi ni mtumishi wa serikali kada ya elimu (mwl)

Sababu hasa ni hizi
1.interest au hob
Kiukweli hii kazi siipendi niliisomea bada ya kuwa sina otenative najitaidi niikubali but inashindikana so naona kama napoteza muda

2.kipato
Najua kuwa watumishi weng hasa awamu hii ya 5 weng wanalalamika hali ya uchumi but mmi naona hii yangu ni too much

Kiukweli najitahidi sana kujibana ila naona nashindwa, nashindwa kufanya hata mambo ya kawaida tu nikiwa kama baba natamani familiar yangu angalau iishi standard hata kias tu but huku nliko naona kama ndoto
Yan labda uwe mzee wa topup jambo ambalo naona pia ntaongeza ufukara mana ukiisha ndo utataabika kama nnavyoona wengine

Lengo la uzi huu ci kuwatangazia msimamo wangu bali ni kuwaomba wale ambao walishachukua maamuzi kama yangu au wanaotarajia hivyo waendlee kunipa moyo pia wote ambao watakua na wasaa basi wanisaidie kimawazo nifkie lengo langu

Naomba kuwaslisha

NB: Pls nmejitaidi kutumia lugha nzuri naomba bro o sister kama unanishaur bas lugha iwe ya kunielewesha isiwe ya kebehi au kunitusi kwan kuyaheshimu maamuzi ya mtu ni jambo la busara
 
Changamoto kubwa tunayokutana nayo huwa hatupati elimu za kifedha katika shule zetu.

Tunamaliza vyuoni, tunapata kazi, tunajiingiza kwenye mikopo ya magari au ya kununua viwanja. Mkopo wa miaka 5 mpaka 6.

For all that period tunajikuta tunafanyia kazi bank, na hela tuliyoichukua tunakuwa kama tumeizika. Haiingizi faida yoyote.

Nadhani Kuna umuhimu wa hili somo kuanza kufundishwa vyuoni, au hata iwe kwa mifumo ya seminars.

Nitajaribu kuandika thread kuhusu hizi kitu na jinsi banks zinavyofaidika kutokana na elimu yetu duni juu ya maswala haya.
 
Back
Top Bottom