- Thread starter
- #61
Hakika litakalo tokea ntakuja jf kuwaeleza nlipofkia najua inaweza kuwa chachu kwa wengine napenda vijana wenzangu tuwe free mind baada ya mwaka ntakuaja na mrejesho
Asilimia kubwa ya walikushauri wanaonesha kukupandikiza uoga kwenye ishu yako uliyopanga, hivyo usiwe muoga we kazana na maamuzi yako, cha muhim najua utakuwa umeshajiandaa vya kutosha mpaka unafika maamuzi hayo,
Tunakutakia kila la kheri na pia tunaomba baadae uje kutupa mrejesho baada ya mwaka
Britanicca