Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 14,730
- 21,110
Jamaa kanyooka na anaeleza history ya kudai katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi nk,Ndio haya yamefanya iwe chanzo cha mauaji ya 29oct,Tulia utajua mengi ya serikali Yako ya mboga mboga!Amewahi kutokea wapi 'fighter' anayependa chakula kama huyu?!!! Anayekula mpaka anataka kupasuka?!!! Mi sielewi elewi tu.
Nawasilisha Huku nikiwa na Imani mliotembea na kusoma mtanielimisha. Binafsi sijawahi kuwa na jambo nyeti la kulishughulikia halafu nikawa mfakamia chakula kiasi kile.