Na ulaji ule ni dhahiri hamna kitu pale

Na ulaji ule ni dhahiri hamna kitu pale

Dr wa Manesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
5,698
Reaction score
4,253
Amewahi kutokea wapi 'fighter' anayependa chakula kama huyu?!!! Anayekula mpaka anataka kupasuka?!!! Mi sielewi elewi tu.

Nawasilisha Huku nikiwa na Imani mliotembea na kusoma mtanielimisha. Binafsi sijawahi kuwa na jambo nyeti la kulishughulikia halafu nikawa mfakamia chakula kiasi kile.
 
Jamaa pale kapuyanga ,yaani anaenda nje ya mada
.Sijaona professionalism kabisa ,jamaa anatafuta public sympathy hapo analeta stori, anatia huruma sana .
 
Jamaa pale kapuyanga ,yaani anaenda nje ya mada
.Sijaona professionalism kabisa ,jamaa anatafuta public sympathy hapo analeta stori, anatia huruma sana .
Hio sympathy imekujia baada ya jamaa kukufungua kua Nchi ina ujinga hii..umeelewa nini jamaa anapigania na ni kwa namna gani mmekua munajifanya kutomuelewa mtu anaepigania maslahi yenu
 
Hio sympathy imekujia baada ya jamaa kukufungua kua Nchi ina ujinga hii..umeelewa nini jamaa anapigania na ni kwa namna gani mmekua munajifanya kutomuelewa mtu anaepigania maslahi yenu
Sijaona point hapo😅😅ukweli huyo jamaa hamna kitu kichwani ,yaani mpaka wanaompinga wanamuonea huruma ,ikiwa ni pmoja na mimi.

Naona hana uwezo kabisa wa kujitetea😅😅
 
Jamaa pale kapuyanga ,yaani anaenda nje ya mada
.Sijaona professionalism kabisa ,jamaa anatafuta public sympathy hapo analeta stori, anatia huruma sana .
Huna unachojua..hata Katuga hajui..ana haha kujua ni kipi kimejengwa Leo na kwa Muktadha upi Kisheria huko mbele ya Safari ya Kesi...
Kaa kwa kutulia...tu..
 
Huna unachojua..hata Katuga hajui..ana haha kujua ni kipi kimejengwa Leo na kwa Muktadha upi Kisheria huko mbele ya Safari ya Kesi...
Kaa kwa kutulia...tu..
Unalia ,msekule wa Lissu hata utiwe kidole unasifia tu ...Angalia wenzie wameshaona hamna kitu hapo ,analeta stori za vijiweni.
 
Wakati wa bunge la katiba mtwara mjini Kuna sehemu kulikuwa na tv kubwa na watu walikuwa wanajaa kwenda kumsikiliza lissu hata wa cccm nao
😅😅Huyo hamna kitu ,anapenda ubishi ila uwezo wake wa kawaida sana ...Naona anapuyanga sana ,kusini hawana time naye .
 
Nimekuuliza swali jepesi binti yangu
Wewe fala eti wanaweka Tv ,sema wapi wanaweka 😅😅kwa hiyo Kusini kote waache kazi waangalie ujinga ,huku kusini hawafuatilii ujinga...Kijana achana kusambaza uchawa wa watu ,waache wafanye maisha yao...😅Msekule wa Lissu una tabu sàna.
 
Wewe fala eti wanaweka Tv ,sema wapi wanaweka 😅😅kwa hiyo Kusini kote waache kazi waangalie ujinga ,huku kusini hawafuatilii ujinga...Kijana achana kusambaza uchawa wa watu ,waache wafanye maisha yao...😅Msekule wa Lissu una tabu sàna.
Nimekuuliza swali jepesi umewahi kukaa sehemu zote kusini? Na kwakuwa ukiwa cccm lazima uwe muongo inawezakana hata kusini kwenyewe haujawahi kufika
 
Jamaa pale kapuyanga ,yaani anaenda nje ya mada
.Sijaona professionalism kabisa ,jamaa anatafuta public sympathy hapo analeta stori, anatia huruma sana .
Mpumbavu wewe nwanaume anajenga hoja ya kesi nzima. Na hii ndio imetuonyesha kwanini mna muogopa wewe Dada chawa subiri muone anakoishia atawavua hayo Madera yenu mbakie na hivyo viskintight vyenu vichafu
 
Back
Top Bottom